Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

"Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"

Halafu dakika chache baadae utamsikia akisema "Maendeleo ndugu zangu hayana chama"

Kazi kweli kweli.
 
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani

Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
Wasichague tuone nani bingwa
 
Makosa ya uteuzi yalishafanyika tangu mwaka 2015! Kilichobakia ni kuombea tu hiyo 2025 akubali kwa hiyari yake kuondoka madarakani.

Kinyume na hapo, tutaishi maisha ya tabu na shida nyingi. Hakika TUMEPATWA.

Nafasi pekee ni Oktoba ikifika 2024 ataanzisha miradi mingine isiyokamilika Wala tija kwa taifa ili abadili katiba aendelee kuwatesa watz kwa kigezo hawezi ondoka hadi miradi ikamilike.

Si ajabu akaja na mradi wa kuhamisha bahari ya hindi ihamie Chato Sasa mradi Kama huu utakamilika lini ili aachie madaraka.

Nafasi pekee ni October ya kumstaafisha nje ya hapo tumekwiishaa visasi Kama vyote bashite akiwa waziri wa Mambo ya ndani atabaki mtu kweli.

Tukirudia kosa Tena tumekwiishaa tutalimia kucha.
 
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani

Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma

Manjagata, Msukuma original, paschal na wenzetu wengi heshima kwenu - hamjanusa muda? Aliendelea kwa kusema je?

Haki, Uhuru na Maendeleo hata wasukuma wanavihitaji. Mwache ajidanganye.

Mwaka huu hapendwi mtu!

Hiiiii Bagosha!
 
Back
Top Bottom