Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
"Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"
Halafu dakika chache baadae utamsikia akisema "Maendeleo ndugu zangu hayana chama"
Kazi kweli kweli.