Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
That moment when Mgombea anapojisahau na kuanza kutumia koti la Urais kutishia raia wanyonge...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasichague tuone nani bingwa
Atake asitake.....na Ndugai akabariki hii kauli. Itapendeza sana kama huyu ndugu atanyimwa uspeaker maana Ubunge ndo keshajinyakulia kwa kupita bila kupingwaKinyume na hapo, tutaishi maisha ya tabu na shida nyingi. Hakika TUMEPATWA.
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani
Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani
Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
Duh... Kaongea kisukuma!??... Hii tume waje watoe maelezo Kama Ni sahihi au...
Tz Ni wamoja nchi moja.
Duh! Anaomba kura kwa nguvu! Haoneshi dalili ya kuachia madaraka kama atashindwa.Nimeifatilia, pia kawaambia "WAKIJISKIA WAMCHAGUE"
John ni mkabila sana huyu jamaa.Duh... Kaongea kisukuma!??... Hii tume waje watoe maelezo Kama Ni sahihi au...
Tz Ni wamoja nchi moja.
Ndiyo ujue kuwa ni muwongo. Hamaanishi anachokisema.Kauli yake kila siku ni "MAENDELEO HAYANA VYAMA"
IMEKUWAJE LEO?
CHAGUENI WA CHAMA KINGINE MTAJIJUWA?
As if yeye kashakuwa raisi tayari... sasa anaangaza ya wabunge na madiwani!Anaongea kama yeye si mgombea!
Kwa hiyo yy ana uhakika kwamba lazima awe Rais?"Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"
amesema kama hawatowachagua,wasimuulize kuhusu maendeleo kwakuwa hatotoa pesa ya shughuli yoyote ya maendeleo eneo hilo