Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Chadema inakufa mwaka huu uchaguzi huu ndio mwisho kwao
 
This picture speaks a million words!

Screenshot_20200906-123011_1599384830114.jpg

CHADEMA ni 'Imani'
 
hawajatishwa bali wameelezwa ukweli.....maaana ccm ndio chama kinacho tawala....hivyo mkichagua wapinzania mtakuwa mmejimaliza wenyewe.......sahau maendeleo. bali mkitaka maendeleo chagua Rais wa Ccm Mbuge wa ccm na diwani wa ccm
 
Uko kwenye system kuna nini,nahisi ameambiwa hakuna mbeleko.
 
wakuu mimi naelewa mfumo wa vyama vingi ni ili tupate fursa ya kuchagua mtu tunayemtaka

waje wagombea wa vyama mbalimbali watoe sera zao tutakayeona anafaa tumpe kura

sasa cha kushangaza mgombea wa CCM anakua kama vile anatulazimisha nani tumchague kua mbunge au diwani!

mara kwa mara amekua akitisha watu mara mkichagua chama kingine mtaniudhi mara mtajijua mara siwezi kupeleka chakula kwa jirani nikawaacha watoto wangu, mara mkichagua wapinzani maendeleo mtayasikia kwingine
mara mtajuta kwa miaka mitano!

sasa hiki ndio nini? kwaiyo sisi tuchague kiongozi hata kama ni mbovu kisa tunaogopa vitisho? nini maana ya uchaguzi sasa?

kwani lazima kila mtu aichague CCM?

mimi siipi kura ccm sasa kwanzia Rais mpaka diwani sichagui CCM kama ni kujuta nijute sasa

mbona tangu 2015 mpaka sasa kwanza tunajuta kwanini tulikuchagua


tusipangiane cha kufanya tafadhali
 
wakuu mimi naelewa mfumo wa vyama vingi ni ili tupate fursa ya kuchagua mtu tunayemtaka

waje wagombea wa vyama mbalimbali watoe sera zao tutakayeona anafaa tumpe kura

sasa cha kushangaza mgombea wa CCM anakua kama vile anatulazimisha nani tumchague kua mbunge au diwani!

mara kwa mara amekua akitisha watu mara mkichagua chama kingine mtaniudhi mara mtajijua mara siwezi kupeleka chakula kwa jirani nikawaacha watoto wangu, mara mkichagua wapinzani maendeleo mtayasikia kwingine
mara mtajuta kwa miaka mitano!

sasa hiki ndio nini? kwaiyo sisi tuchague kiongozi hata kama ni mbovu kisa tunaogopa vitisho? nini maana ya uchaguzi sasa?

kwani lazima kila mtu aichague CCM?

mimi siipi kura ccm sasa kwanzia Rais mpaka diwani sichagui CCM kama ni kujuta nijute sasa

mbona tangu 2015 mpaka sasa kwanza tunajuta kwanini tulikuchagua


tusipangiane cha kufanya tafadhali
Unafanya mchezo na TL nini mkuu!! Mtu kavurugwa hana hamu
 
Endeleeni kufanya kamkutano kamoja kila Siku, mwenzenu mpaka muda huu kafanya mikutano mitano.

Hamko serious na kampeni nyie
 
Angekuwa mtu wa kujifunza angeshajifunza ila ni mtu mmbishi na mkorofi na dadili zote zinaonesha ataangukia pua.
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani

Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
"Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"
Nimeifatilia, pia kawaambia "WAKIJISKIA WAMCHAGUE"
Huyu jamaa ana akili ka za raia wa zama za mawe.
Duh... Kaongea kisukuma!??... Hii tume waje watoe maelezo Kama Ni sahihi au...

Tz Ni wamoja nchi moja.
Miaka mitano ya machungu zaidi inakuja
Dalili za mvua ni mawingu
Magufuli ni kiongozi mwepesi sana na muoga mno ! huyu hawezi mdahalo wowote na yeyote .

Nawasikitikia sana wananchi waliomuumbua leo maana ni lazima watakamatwa
 
Huyu kapagawa hakutegemea kama game ingebadidili namna hii! sasa anabutua tu bila kulenga goli, Lisu aendelee kupiga spana hadi atoke nje ya uwanja.
Kinachotakiwa ni kuwa na katiba huru na kuwepo na kipengele cha kupinga matokeo ya rais haiwezekani kwa kauli hii halafu mtu aseme kachaguliwa bila kutisha watu. Kungekuwa na kupinga mahakamani Magu anakila pingamizi.
1. Kuajiri walimu katika kipindi cha kampeni ni rushwa nyeupe haina hata doa
2. Kuongea maneno ya kuwatisha wapiga kura huku anajua kbs hii nchi ni ya vyama vingi
3. Kitendo cha kumpa maelekezo Adam Malima jana jukwaani ni kutoa rushwa
4. Mama maria Nyerere ndie angekuwa shahidi namba moja jinsi wastaafu wanavyolazimishwa kuongea uongo.
 
Back
Top Bottom