Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoandika hakiwezekani kutokea hadi siku dunia inafika mwisho wake.Mara pah! Baba/Mama yako anatokea kumkubali Magufuli kinoma yaani haambiwi hasikii.
Niongeze sauti au hiyo inatosha
Tatizo yeye anajiona amesha chaguliwa kumbe bado. This time pombe inamwagwa apende asipende.Nilijua tu, kauli kama hizi lazima ziwape shida hata na wana CCM wenyewe.
Ni kauli za hovyo, ni kana kwamba Magufuli anataka kurudisha taifa kwenye siasa za chama kimoja.
Hii haikubaliki kabisa na sio sawa
Maendeleo yana chama...Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?
Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Sasa huko mnakopita angani ndiyo kuna wapiga kuraMikutano ya hovyo ya vitisho haina maana.
Never say never mwanawane maisha yanaenda haya. Joshua Nassar alipokua anasema "kidumu chama cha mapinduzi" aliongeza maneno pale mbele kwamba sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kutamka maneno haya...Ulichoandika hakiwezekani kutokea hadi siku dunia inafika mwisho wake.
Dawa yake ni kumpiga chini, arudi Chato kulea wajukuuTatizo mlimuaminisha upinzani umekufa akaacha kuandaa Sera. Anatutia aibu kwakweli hatuwezi kua na Rais mwenye upeo mdogo kiasi hicho.
Huo muda unawasubiri nyie tu. Au hujui kuna majimboni 264Hako hako kamkutano kamoja kuna watu wanajinyea huko, je tukianza kampeni ya jimbo kwa jimbo?
Nilijua tu, kauli kama hizi lazima ziwape shida hata na wana CCM wenyewe.
Ni kauli za hovyo, ni kana kwamba Magufuli anataka kurudisha taifa kwenye siasa za chama kimoja.
Hii haikubaliki kabisa na sio sawa
Kauli hiyo na nyingi nyinginezo inaashiria tunapiga kura kuhalalisha kisichostahili. Hapa ilitakiwa vyama kufungua kesi mahakama zifafanue kama siyo uvunjaji sheria. Namna nyingine tuna cheza bora liende.Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?
Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Mmebadilika tena. Siyo mafuriko tena. Angalia sasa hivi yuko Igoma.Hatuangalii wingi tunaangalia ubora.