ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Hii ni uthibitisho zaidi kuwa watumishi wa uma wanapewa vitisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kudeclare interest, You are may best friend ever.
Lakini niliwahi kukwambia namfahamu huyu mtu tangu akiwa kijana akifundisha sekondari na Elimu yake ikiwa ngazi ya Diploma, hawezi kubadilisha labda afanyiwe operesheni ya kichwa awekewe ubongo mwingine.
Maneno ya ukakasi na roho ya kisasi kazaliwa navyo. Wewe najua una access na Mji wa Musoma, uliza alichofanyiwa Headmaster aliyekuwa Mkuu wa shule Sengerema wakati "MTU HUYU" analazimisha kwenda kusoma kabla ya muda wa majaribio kuisha akakataliwa. Alipopata unaibu Waziri wakati wa Mkapa mwalimu huyo alikuwa Headmaster katika shule maarufu na ya siku nyingi hapo Musoma, akiwa mwandishi mzuri wa vitabu vya Kemia vilivyotumika mashuleni, lakini alichofanyiwa na Bwana huyu kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kilipelekea kuacha kazi na kisha kufa maskini kwa sonona. Niambieni kuhusu mwingine siyo huyu.
Yaani unataka kusema alikumbuka mambo aliyofanyiwa miaka ya 80's? Na akaja kulipa kisasi? Na alimfanyia nini huyu jamaa?Naomba kudeclare interest, You are may best friend ever.
Lakini niliwahi kukwambia namfahamu huyu mtu tangu akiwa kijana akifundisha sekondari na Elimu yake ikiwa ngazi ya Diploma, hawezi kubadilisha labda afanyiwe operesheni ya kichwa awekewe ubongo mwingine.
Maneno ya ukakasi na roho ya kisasi kazaliwa navyo. Wewe najua una access na Mji wa Musoma, uliza alichofanyiwa Headmaster aliyekuwa Mkuu wa shule Sengerema wakati "MTU HUYU" analazimisha kwenda kusoma kabla ya muda wa majaribio kuisha akakataliwa. Alipopata unaibu Waziri wakati wa Mkapa mwalimu huyo alikuwa Headmaster katika shule maarufu na ya siku nyingi hapo Musoma, akiwa mwandishi mzuri wa vitabu vya Kemia vilivyotumika mashuleni, lakini alichofanyiwa na Bwana huyu kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kilipelekea kuacha kazi na kisha kufa maskini kwa sonona. Niambieni kuhusu mwingine siyo huyu.
Unajua hilo ndio liko moyoni mwake ,hajui kudanganya ,ni jukumu la wapiga kura kuamua kusuka au kunyoa
Uzuri kwenye miradi mikubwa ni TOTAL FAILURE . Alikosa utaalamu wa kuipanga matokeo yake miaka 5 hakuna mradi unaoonekana. Madege ni hasara tupu ndiyo maana kasma ya ATCL imehamishiwa Ikulu ili CAG asikague , SGR hata kile kipande cha Dar-Moro hakijafika 60% , STIGLERS Gorge bado mjenzi mshiriki anatafuta fedha.Ulishawahi shuhudia mtu bonge ukipata kipondo toka kwa kimbaombao mpaka anang'ata. Ndio ninachokiona jibaba linang'ata
Kampeni zimemshinda kutongoza hawezi na ushawishi hana.
Nawalaumu waliokuwa wakimvisha kilemba cha ukoka na kumuaminisha miradi mikubwa itamuinua. Sasa miradi haisemi, wapambaji hawaingii majukwaani, sasa kazi tupu
Magu anauhakika waushindi. Anawafanyia kampeni wabunge na madiwani. Ndio maana ni mara chache Sana kumsikia akiomba kura za uraisAnaongea kama yeye si mgombea!
Yaani unataka kusema alikumbuka mambo aliyofanyiwa miaka ya 80's? Na akaja kulipa kisasi? Na alimfanyia nini huyu jamaa?
Pamoja na madongo uliyonipa ni vyema nikapata majibu.Hoja yako umeijenga 'Kipuuzi' na Swali lako nalo umeliuliza 'Kinafiki' sana Mkuu. Kwani 'Visasi' dhidi ya 'Adui' yako Mwandamizi huwa vina Ukomo?
Huyu Magufuli ni kichaa. Kama kuna mtu ana chlorpromazine au Cabrpwemazine karibu hebu ampe. Nadhani Dokta wake amesahau kumpa."Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"
ila kwa jinsi Magu anavyobana upinzani akija kupata kura chini ya 90% atakuwa amefeli sana...anapaswa kupata zaidi ya hapo!.
Pamoja na madongo uliyonipa ni vyema nikapata majibu.
Nadhani ni unafiki tu wa kutaka kuonyesha JPM ni mtu wa visasi. Maana logically ulipe kisasi kisa mkuu wa kazi hajakupa ruhusa,tena mkuu wa kazi alifuata taratibu! Hata kama mnataka kutujaza sumu muwe mnafikiria kwanza.'Juha Mwandamizi' huwa anajibiwa?
Nafasi pekee ni October ikifika 2024 ataanzisha miradi mingine isiyokamilika Wala tija kwa taifa ili abadili katiba aendelee kuwatesa watz kwa kigezo hawezi ondoka hadi miradi ikamilike.
Si ajabu akaja na mradi wa kuhamisha bahari ya hindi ihamie Chato Sasa mradi Kama huu utakamilika lini ili aachie madaraka.
Nafasi pekee ni October ya kumstaafisha nje ya hapo tumekwiishaa visasi Kama vyote bashite akiwa waziri wa Mambo ya ndani atabaki mtu kweli.
Tukirudia kosa Tena tumekwiishaa tutalimia kucha.