Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Kwa pumba hizo anazoongea mitano ni michache, alipaswa afanye hata hamsini kwa siku moja.
Baada ya uchaguzi msije kuleta visingizio na kumlaumu mgombea wenu kwa kufanya starehe angani
 
Rais Magufuli amewataka watanzania wachague mtu ambaye wana uhakika na uongozi wake badala ya kutaka kuchagua mtu kwa kujaribu

Dr Magufuli amesema majuto ya kuchagua kwa kumjaribu kiongozi yatawagharimu kwa miaka mitano hivyo fanyeni uamuzi sahihi wa kumchagua mtu aliyewaletea maendeleo yanayoonekana kwa kila mtu, msibahatishe.

Rais Magufuli amesema hayo mjini Magu akiwa njiani kuelekea Mwanza anakosubiriwa na maelfu ya wananchi.
Source Channel ten.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana chama, Lissu hoyeeeeeee!
 
'Mkijidanganya hapa mkachagua wa chama kingine, majuto yake mtayaona, wala siwadanganyi, siwafichi..''.Mgombea Urais CCM-Dkt.John Magufuli

ITV Tanzania

Kauli kama hizi zikitoka kwa Mgombea wa Chama changu ( tena Rais ) sasa zinaweza kutupa Kazi ngumu Sisi tunaompenda na Kumpigia Kampeni.


..ana tatizo la kutoa KAULI ZA MATUSI.

..ashauriwe walau apunguze, kama sio kuacha kabisa.

..Na inasemekana akizungumza KILUGHA hufurumusha MATUSI MAKUBWA zaidi.

..hilo nalo wasaidizi wamrekebishe.
 
'Mkijidanganya hapa mkachagua wa chama kingine, majuto yake mtayaona, wala siwadanganyi, siwafichi..''.Mgombea Urais CCM-Dkt.John Magufuli

ITV Tanzania

Kauli kama hizi zikitoka kwa Mgombea wa Chama changu ( tena Rais ) sasa zinaweza kutupa Kazi ngumu Sisi tunaompenda na Kumpigia Kampeni.
Naomba kudeclare interest, You are may best friend ever.
Lakini niliwahi kukwambia namfahamu huyu mtu tangu akiwa kijana akifundisha sekondari na Elimu yake ikiwa ngazi ya Diploma, hawezi kubadilisha labda afanyiwe operesheni ya kichwa awekewe ubongo mwingine.
Maneno ya ukakasi na roho ya kisasi kazaliwa navyo. Wewe najua una access na Mji wa Musoma, uliza alichofanyiwa Headmaster aliyekuwa Mkuu wa shule Sengerema wakati "MTU HUYU" analazimisha kwenda kusoma kabla ya muda wa majaribio kuisha akakataliwa. Alipopata unaibu Waziri wakati wa Mkapa mwalimu huyo alikuwa Headmaster katika shule maarufu na ya siku nyingi hapo Musoma, akiwa mwandishi mzuri wa vitabu vya Kemia vilivyotumika mashuleni, lakini alichofanyiwa na Bwana huyu kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kilipelekea kuacha kazi na kisha kufa maskini kwa sonona. Niambieni kuhusu mwingine siyo huyu.
 
'Mkijidanganya hapa mkachagua wa chama kingine, majuto yake mtayaona, wala siwadanganyi, siwafichi..''.Mgombea Urais CCM-Dkt.John Magufuli

ITV Tanzania

Kauli kama hizi zikitoka kwa Mgombea wa Chama changu ( tena Rais ) sasa zinaweza kutupa Kazi ngumu Sisi tunaompenda na Kumpigia Kampeni.
Kitu muhimu nadhani ni kutomchagua yeye kwanza, halafu na mbunge naye unamkata then unamalia hasira kwa diwani.
 
Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?

Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?

Hizo ni dalili za kushindwa kwa aibu!
Ameshajua anashindwa hivyo kilichobaki ni kutisha tisha watu tu!
Amepanic!
 
Magufuli akiwa wilayani magu ameonyesha kauli za kuwatisha wapiga Kura kuwa wasipomchagua mgombea wa CCM wasijekumlaumu, imefichuka kuwa siri iliyopo nyuma ya pazia ni kwamba anataka apate wabunge wengi iwezekanavyo ili hata pale linapokuja suala la kubadili katiba asalie madarakani kusiwe na kipingamizi chochote bungeni, kwani atakuwa na wabunge wengi was chama chake hivyo kuwa na urahisi katika kupitisha muswada wa mabadiliko ya uongozi.

Shime Watanzania na wapenda demokrasia, tumkataeni Magufuli kwa namna yoyote ile kwani yajayo hayafurahishi.
 
Ukimwambia mtu ukweli unaambiwa umemtisha.
 
'Mkijidanganya hapa mkachagua wa chama kingine, majuto yake mtayaona, wala siwadanganyi, siwafichi..''.Mgombea Urais CCM-Dkt.John Magufuli

ITV Tanzania

Kauli kama hizi zikitoka kwa Mgombea wa Chama changu ( tena Rais ) sasa zinaweza kutupa Kazi ngumu Sisi tunaompenda na Kumpigia Kampeni.
Unajua hilo ndio liko moyoni mwake ,hajui kudanganya ,ni jukumu la wapiga kura kuamua kusuka au kunyoa
 
Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?

Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Mikoa ya Dodoma na Singida na Ruvuma wanachagua CCM kwa 100% kuanzia wakati wa Uhuru. Je kuna maendeleo gani kule?
Nenda kaangalie umaskini uliotopea kuanzia kunywa maji machafu, ukosefu wa huduma za afya na elimu duni.

Linganisha na mikoa inayowapa kura wapinzani kama Mbeya, Arusha, Dar, Kilimanjaro na Kagera. Hapo ndiyo utajuwa anayerudiaha nyuma maendeleo ya Tanzania ni CCM yenyewe.
 
Back
Top Bottom