Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Hivi kuthibisha kauli na hela za ruzuku zinaenda wapi vinahusiana hivi kweli?
Sample uliziiba lakini viongozi wakakataa kuzipeleka SA. Sasa uliziiba au ulichukua, unaibaje kitu alafu unashea na viongozi.
Tautology inagoma kabisa kubalansi asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sample uliziiba lakini viongozi wakakataa kuzipeleka SA. Sasa uliziiba au ulichukua, unaibaje kitu alafu unashea na viongozi.
Tautology inagoma kabisa kubalansi asee
Sent using Jamii Forums mobile app