Wakati mwingine Mungu hutumia matukio kuponya Taifa au kuonesha ukuu wake. Kifo Cha kamarada Dkt Mohhamed Seif Khatib kuna jambo tunataka kuoneshwa.
Kama kweli Tanzania hakuna Covid-19, na kutokana na Wana CCM wanavyopendana katika shida na raha, basi katika msiba na maziko ya Seif Khatib tunategemea kuoneshwa umati mtitiii wa wanaCCM wakimzika kada huyu maarufu.
Bila kuvaa barakoa, bila kujali social distance maana "Mungu wetu yupo", kwenye msiba huu lazima tuwaone
1. M/Kiti John Magufuli
2. Dk. Bashiru Ally
3. Jakaya Kikwete
4. Kinana
5. G. Mkuchika
6. Mzee Mwinyi
7. D. Msuya
8. Malecela
9. Ndugai
10. Familia ya Karume
11. Lowassa
12. Amos Makalla
13. Philip Mpango
14.........ongezea wewe.
Bila hao kumzika mwenzao aliyekitumikia chama kama Khatib, basi salaam kwa Magu kuwa huenda ni Chato tu hakuna "korona".
Nawasilisha.