Mpina mhuni mhuni anapiga kelele kwa sababu hajapewa uwaziri tuWote wezi tu ndio maana hawamchukulii serious. Ni sisi wananchi tusiokua na akili ndio tunamuona Mpina ni mzalendo!! Huyu Mpina anayetaka ripoti ya CAG iheshimike huko nyuma aliwahi sema inatumika kumchafua JPM na alikua mmojawao waliotaka CAG Assad achukuliwe hatua na bunge!! Cha ajabu leo hana uwaziri ndio anaamini ripoti za CAG?
To hell
Kama huyaoni itakuwa mfaidika au umelewa Madaraka.hapo kuna mateso gani kwa mfano
Kwanini Mpina akiikosoa serikali mnasema ana uchungu na kuachwa kwenye Baraza?mbona Mawaziri wengi tu awamu ya tano waliachwa na Huwa wanachangia hoja Bungeni, kwanini Mpina?hivi huyu mjamaa hua ana uchungu kweli na rushwa nchini au ana uchungu wa kutemwa na kuachwa kunako baraza la mawaziri serikalini?
Maana hayo yanafanyika, yumo serikalini anayaona na amekaa kimya tuli analamba Asali tu......
jamaa zingine dezi sana....
Kwani alipigiwa kura na Wananchi Ili akawe Waziri au akawakilishe Wananchi Bungeni?.Uwaziri ni Deiwaka tu Mkuu!Mpina mhuni mhuni anapiga kelele kwa sababu hajapewa uwaziri tu
Mungu mbariki MpinaMbunge Mpina asema hii nchi inapigwa kila kona na zaidi ya Tsh. 30 Trilioni zimepigwa na nyingine zimesafirishwa/ kutoroshwa nje ya nchi.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba PhD amesema anachosema Mpina hakiwezekani kwa sababu Bajeti ya nchi haizidi tsh 50 trilioni.
Mpina ameomba Waziri Dr Mwigullu PhD na Prof. Mbarawa Wakamatwe na kufungwa kwa Uhujumu Uchumi.
----
Hivi ndivyo ilivyokuwa ndani ya Bunge, leo Novemba 3, 2023 wakati Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alipokuwa akichangia hoja kisha kujibiwa na Mbunge na Waziri wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba kuhusu upigaji wa zaidi ya Tsh. Trilioni 30.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwigulu amekuwa akihenyeshwa na Mpina karibia miezi sita mfululizo, hana hamu kabisa na huyo jamaa.
Huyo Mbarawa ni sawa na mdoli tu wa Samia, hata yeye binafsi naamini anajua kabisa hastahili kuendelea kuwepo kwenye hiyo nafasi, amshukuru dada yake anayemlinda.
Changamoto kubwa ni watu wengi kushindwa Kutofautisha nchi na serikali.Ok. Tukubaliane na Mwigulu kuwa nchi haiajapigwa trilioni 30, basi Mwigulu aseme, yeye na wenzake wameipiga nchi kwa trilioni ngapi?
Maana hajakanusha kuwa nchi haijapigwa bali anachokataa ni kiasi walichokipiga.
check namna wanavyochangia utaona tofauti kuuubwaaaa baina yao......Kwanini Mpina akiikosoa serikali mnasema ana uchungu na kuachwa kwenye Baraza?mbona Mawaziri wengi tu awamu ya tano waliachwa na Huwa wanachangia hoja Bungeni, kwanini Mpina?
Kwani ukiondolewa kwenye Uwaziri ndiyo huruhusiwi kuwatetea Wananchi?
Acheni siasa za kishamba!
kaa ivoivo na mauchungu yako yakujitakia,Kama huyaoni itakuwa mfaidika au umelewa Madaraka.
Alipokuwa waziri alifanya yale yaleKwani alipigiwa kura na Wananchi Ili akawe Waziri au akawakilishe Wananchi Bungeni?.Uwaziri ni Deiwaka tu Mkuu!
MaliboroSandarusi
Bungeni hawatumii akili za darasani,; kibajaji na msukuma wasingekuwa bungeni.Hakuna jitu jinga kama Mpina, lenyewe ndio halijui kitu. Namfahamu tangia kaiwa Mzumbe huwezi kwa namna yoyte kumlimganisha hata kwa tone na Mwigulu.
Huwa linaongeaga kwa jazba kukosa uwaziri, shida ni kwamba halina impact ktk nchi hii. Amesharudisha yale mashamba alowadhulumu wananchi kule Morogoro?
ni udhaifu wa speaker- ama mwenyekiti wa Bunge, angewaambia tu kila mtu athubitishe madai yake tuone mbivu na nchiOk. Tukubaliane na Mwigulu kuwa nchi haiajapigwa trilioni 30, basi Mwigulu aseme, yeye na wenzake wameipiga nchi kwa trilioni ngapi?
Maana hajakanusha kuwa nchi haijapigwa bali anachokataa ni kiasi walichokipiga.