Dkt. Mwigulu asema Nchi haiwezi kupigwa Tsh. 30 Trilioni wakati Bajeti yetu haivuki Tsh. Trilioni 50, Mpina asema Waziri hajui lolote

Mpina mhuni mhuni anapiga kelele kwa sababu hajapewa uwaziri tu
 
Kwanini Mpina akiikosoa serikali mnasema ana uchungu na kuachwa kwenye Baraza?mbona Mawaziri wengi tu awamu ya tano waliachwa na Huwa wanachangia hoja Bungeni, kwanini Mpina?
Kwani ukiondolewa kwenye Uwaziri ndiyo huruhusiwi kuwatetea Wananchi?
Acheni siasa za kishamba!
 


Athari za UPIGAJI ziko Dhahiri👆
 
Mpina ana ujumbe mzuri ila yeye ni mjumbe haramu ambaye hana sifa za kuongea anayoongea. Ni mtu aliyewatia umaskini wavuvi wa nchi hii. Au mmesahau alivyokuwa anapima samaki kwa rula? Mpina ni jitu la hovyo linalopaswa kupuuzwa. Ni mnufaika mkubwa wa udhalimu wa awamu ya 5
 
Mungu mbariki Mpina
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Denoo, upo!
 
Ok. Tukubaliane na Mwigulu kuwa nchi haiajapigwa trilioni 30, basi Mwigulu aseme, yeye na wenzake wameipiga nchi kwa trilioni ngapi?

Maana hajakanusha kuwa nchi haijapigwa bali anachokataa ni kiasi walichokipiga.
Changamoto kubwa ni watu wengi kushindwa Kutofautisha nchi na serikali.
Utoroshaji wa pesa za sekta binafsi nao ni sehemu ya upigaji dhidi ya nchi.
Bajeti ya serikali yaweza kuwa tofauti na hali halisi ya uchumi wa nchi kwa ujumla, hasa pale sehemu kubwa ya uchumi inaposhikiliwa na wageni.
 
check namna wanavyochangia utaona tofauti kuuubwaaaa baina yao......

angalia michango ya mpina tangu atemweeee ni deconstractive criticism ambazo hakuna ataezifanyia kazi hata nukta....
 
Mwigulu anajibu huku anakigugumizi cha hofu
 
Huyu mpina si nasikia anaenda chadema sasa yote ya nini si aende tu bila kuleta umbea na majungu?
 
Bungeni hawatumii akili za darasani,; kibajaji na msukuma wasingekuwa bungeni.
 
Ok. Tukubaliane na Mwigulu kuwa nchi haiajapigwa trilioni 30, basi Mwigulu aseme, yeye na wenzake wameipiga nchi kwa trilioni ngapi?

Maana hajakanusha kuwa nchi haijapigwa bali anachokataa ni kiasi walichokipiga.
ni udhaifu wa speaker- ama mwenyekiti wa Bunge, angewaambia tu kila mtu athubitishe madai yake tuone mbivu na nchi
 
Hivi ile Ripoti ya CAG Ndiyo imeanza kujadiliwa Tuache Bunge lifanye kazi yake..Tutaona Mwisho wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…