Kinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoiAkina Sabaya, kazi yao ilikuwa kuchungulia accounts za wafanyabiashara and then kuwatengenezea zengwe ili watoe hela
Unajuaje kama hana utajiri? unamfahamu personally?Ana utajiri upi mpaka apokonywe pesa mnapenda kufuata mkumbo Sana.
Uanaume enzi hizi hausaidii, Nape alisema ukikutana na JIWE likwepe, kaa pembeni, Mungu atashughulika nalo! Wengi walifanya hivyoAngeyasema haya siku 365 zilizopita tungemwona anajitambua na mwanaume
Sina mshahara mimi...Kamshahara kako ka laki nne jiwe angechukua afanyie nini?
Yaani kila kitu mnapakazia huyu marehemu..
Maisha bila unafki hayaendi - Edo Kumwembe"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Hali ilikuwa mbaya, mtetezi wa wanyonge alikuwa mtu wa hovyo sanaKinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoi
Kuna mmoja alikuwa anaagiza spare za pikipiki/ Bajaji.. Nje ya nchi.. Walimdaka akaonyesha anavyolipa kodi.. Task force ya Jiwe wakamwambia unalipa kidogo..
Wakamlamba zaidi ya M 110 benki..
Mpaka leo hana uwezo wa kuagiza.. Hana mtaji.. Watu walifilisiwa..
Tuombe tuu uongozi ule usije tena katika nchi hii
Ndio hivyo wanatetea vyeo vyao mkate usije kuwa mgumuAiseee wanasiasa na maneno yao duh
Kusema ukweli ni unafiki?tunapaswa kuwapiga vita sana wanasiasa wanafiki, ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi.
Kwani Mwigulu ni mtu wewe ni takatakaDikteta aliumiza wengi sana, aliua ndoto za watu wengi, Madelu naye alikuwa ni muhanga wa Uchwara, sidhani kama hii 5 mingine angemaliza naye! Umeona wapi mchumi anapewa wizara ya sheria aiongoze??
Ndio ukweli huu hata kama ni mchungu,mabenki madogo yalikufa au kulazimisha kulingana Ili yaendelee ku survive."Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Hawezi kusema hovyo kwa sababu yeye ndio mtunza kibubu.Siku akija Rais mwingine halafu akampa fursa,huyu hachelewi kusema awamu iliyopita nchi Ilikuwa ICU Kwa madeni🤣🤣🤣!
Kwa Sasa anakula mema ya nchi na kucheza midundo ya mtawala!
Tena yeye alikuwa anawaponda live mbele ya kadamnasi, wakiwa haiHawezi kusema hovyo kwa sababu yeye ndio mtunza kibubu.
Afu tabia ya kuponda wastaafu iliasisiwa na Jiwe Wacha apewe mishale huko huko aliko 😬😬