Moja ya sifa ya kuwa mwana siasa ni akili kukaa tenge, hata kama utakuwa umesoma vitabu vyote vya dunia hii."Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Mzee mmoja akioneshwa kwenye tv alisema siku ya kiama baada ya shetani kwenda motoni atakae fatia ni mwana siasa.Ila wanasiasa ndio watu wanaoongoza kufanya Dhambi kuliko binadamu yoyote
Anaongea kana kwamba hakuwahi kuitumikia awamu ya tano. Mwigulu ni hatari sana. Ni wa kuogopa kama Covid-19."Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Si uongozi, ni sheria tulizo nazi ndio tatizo. Nafuu ya mtanzania inatokana na huruma ya mtawala, si sheria.Kinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoi
Kuna mmoja alikuwa anaagiza spare za pikipiki/ Bajaji.. Nje ya nchi.. Walimdaka akaonyesha anavyolipa kodi.. Task force ya Jiwe wakamwambia unalipa kidogo..
Wakamlamba zaidi ya M 110 benki..
Mpaka leo hana uwezo wa kuagiza.. Hana mtaji.. Watu walifilisiwa..
Tuombe tuu uongozi ule usije tena katika nchi hii
😂😂🤣🤣😅😆😁😁😄😃😀Maneno AmeyatupaAiseee wanasiasa na maneno yao duh
Dikteta aliumiza wengi sana, aliua ndoto za watu wengi, Madelu naye alikuwa ni muhanga wa Uchwara, sidhani kama hii 5 mingine angemaliza naye! Umeona wapi mchumi anapewa wizara ya sheria aiongoze??
Sheria ya TRA ambayo inawapa mamlaka ya kufreez account ilitumika vibaya ..tena ilitumika kulipa visasiSi uongozi, ni sheria tulizo nazi ndio tatizo. Nafuu ya mtanzania inatokana na huruma ya mtawala, si sheria.
Kabla ya Samia Nchi ilikuwa inaongozwa na chama gani? Nae alikuwa katika nafasi gani"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Sasa ukweli ni upi, kati ya huu na ule alisema Magufuli anastahili kuwa Rais wa Afrika kwa kupandisha uchumi wa nchi?Kaongea ukweli lakini
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Hakuna mtu asiye na mtetezi nchi hii, acha propaganda mfu! And wananchi wapi ni wa kawaida na wapi siyo wa kawaida?Kwa sasa wananchi wa kawaida ndio wanapumulia mashine. Kila kitu bei juu. Gharama za maisha zimepanda mara dufu. Kila bidhaa bei ghali. Umeme, maji, mafuta, nafaka, usafiri vyote viko juu!
Jua nalo linakausha mazao kabla ya wakati wake, baadhi ya maeneo mifugo inakufa kwa ukame. Kila kukicha, afadhali ya jana. Wananchi wa kawaida wasio na mtetezi kwa sasa ndio wanaopumulia mashine!
Wananchi wa kawaida ni wale wasiokuwa kwenye mfumo wa uongozi na sio viongozi. Wasio wa kawaida ni viongozi na watawala. Hili halihitaji nguvu nyingi kuelezea. Hata wao kwenye hotuba zao, husema 'kwa mwananchi wa kawaida...'Hakuna mtu asiye na mtetezi nchi hii, acha propaganda mfu! And wananchi wapi ni wa kawaida na wapi siyo wa kawaida?
Hakuna ukweli wowote uongo na kujipendekeza tu,kwa ujinga huu tusitegemee maendeleo,siku mama hayupo ndo mtashangaa wahuni watakavyo msema vibaya.Kaongea ukweli lakini
Unafiki tu ni vile ulipitiwa. Serikali dharimu hazifai.Yuko sahihi Kilicholeta shida hiyo ni kitengo cha Anti money laundering na TRA
Mfano wewe Dalali wa mteja anakuwekea Milioni 20 kwenye Akaunti umnunulie mzigo mfanyabiashara wa kongo au Zambia au Malawi au mtu wa mikoani TRA walikuwa wanatreat zote kama mauzo yako ndio maana Kariakoo images business.Walitreate ni income wakiona tu pesa zimeingia kwenye akaunti hiyo wanachululia income! Wakati ni pesa iko held on trust huanza chochote .Waligeuza Akaunti za kampuni kama income akaunti na income statement kwa kila kilichoingia
Au mteja anakuachia mazao umuuzie umpe chake huwezi kaa na mipesa yote nyumbani ukienda ku deposit bank maswali Mia moja unatoa wapi kelele kibao kuwa wewe mtakatisha pesa zinazulumiwa watu wakaacha ku deposit kwenye mabenki anti money laundering walihamia na mifumo yao counter za benki watu wakaona isiwe shida tutakaa na pesa zetu nyumbani yaani hata ku deposit tu shida taabu ya nini?
Mimi ni mmoja nilipiga kelele sana humu kuwa Kitengo cha Anti money laundering kitaua mabenki nobody cared.
Kabla ya Samia Nchi ilikuwa inaongozwa na chama gani? Nae alikuwa katika nafasi gani