Amevuka hizi wiki mbili mlizomzushia kifo.
Ni Bavicha wachache tu wenye nia ovu!
Halafu sisi wananchi tunaambiwa tupige nyungu .Wakwende hukuAmezungumza na waandishi wa habari akiwa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma leo tarehe 23 Febr 2021, live kupitia TBC...
Hivi wengi inawezekana hamjui hiyo hapo mkononi mwake ni IV line ya kuwekewa dawa. Sasa kama mtu ana IV line maana yake ni kwamba bado anapata matibabu na Mpango bado ana IV line mkononi.Hawa ndio PhD holder tulio nao Tanzania.
Sishangai Msukuma anavyo watukana bungeni na wao kushangilia wakati wana tukanwa...
Ndiyo maana nimesema utakuwa crazy! Kwani barakoa inakinga au inaponya?Onesha alievaa barakoa akapona korona
Hapana. Alikuwa na changamoto ya kupumua tu!Kwani huyu naye alikuwa anasumbuliwa na corona?
Hao ccm immunity zao ni uchwara si za kuaminikaAnapataje tena wakati tiari ana immunity?
Unawaza tu papuchi mgerasi weweEnewei, sijui kama mkewe bado anampa raha sana!
Sijui kwanini hakujionea huruma! Alikuwa anaongea huku anahema juu juu ili TU kumfurahisha mkuu. Too badAmerudi KUCHAPA KAZI Kama alivodai
Back to ICU
Mkuu Jiwe kamlazimishaSijui kwanini hakujionea huruma! Alikuwa anaongea huku anahema juu juu ili TU kumfurahisha mkuu. Too bad
Mungu amsimamie apone.
Haikupaswa kutusuta walimwengu kabla hajapona vizuri.
Mkuu umeongea NENO...Amezungumza na waandishi wa habari akiwa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma leo tarehe 23 Febr 2021, live kupitia TBC.
Amesema alikuja hapo hospitalini akiwa na mtungi wa Oxygen. Amekuwapo kwa zaidi ya wiki mbili. Na leo ni siku ya 3 hajagusa mtungi wa Oxygen, anapumua mwenyewe.
Tunafurahi sana kuona amepona.
Binafsi nafurahi zaidi kwa ushuhuda wake wa kwamba amepona kwa tiba rasmi za hospitali, na si kwa mambo ya kujifukiza na kupiga nyungu. Huu ni ushuhuda kwamba hizi ndizo huduma tunazopaswa kuzieneza kwa wote na kuhimiza wananchi wazitumie, na siyo kutupoteza kwa mambo ya nyungu.
Amesifu excellent professionalism ya madaktari wetu. Naomba ujumbe huu uwafikie wale wanasiasa wote wanaobeza madaktari wetu na kuwadhalilisha, na ujumbe uwafikie pia wale wanaohimiza uganga wa jadi. Mheshimiwa amekiri kuwa hii sekta inastahili kupewa kipaumbele zaidi.
Kama tumefika huku, basi tumepoteza muelekeo kama nchi. Maana hii ni hatari sana, huyu mh bado anaumwa haikuwa sahihi kabisa kumleta kwenye vyombo vya habari. Hata kama tunataka kuwaonyesha "mabeberu" kwamba maombi yamejibiwa lakini huyu mh bado anahitaji muda.Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa.
Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa kila mmoja na imani yake na atatuvusha. Amenivusha mimi na wengine ninaowaacha hapa atawavusha.
Nilikuwa nafungua mitandao, ni mambo ya ajabu sana. Nimeonja upendo mkubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na wananchi wenzangu wa Buhigwe, wawe na amani na muda si mrefu nitakwenda kuwatembelea
Madaktari, manesi, wataalamu wa viungo, mpaka wahudumu nawashukuru sana kwa huduma nzuri mlizonipa katika kipindi chote. Ni vijana lakini wanafanya kazi kubwa sana"
Natoa pole sana kwa familia zilizopoteza wapendwa kwa wiki mbili nilizokuwa hapa na nyumbani. Ningeshiriki msiba wa Maalim Seif, Balozi John Kijazi na jana nimempoteza mwalimu wangu wa pekee, Profesa Benno Ndulu na mdogo wangu Atashasta Nditiye"
Kulikuwa na vishawishi, hamia Dar es Salaam, hamia huku nikasema hapana, hospitali ni nzuri kabisa na wataalamu walioiva. Sababu ya kukimbilia Ulaya, haipo. Tuboreshe vya kwetu na kwa nafasi aliyonipa Rais, nitamshauri kuboresha zaidi
Ikumbukwe watu wasio wema walizua taarifa za uongo kuwa amefariki baada ya kulazwa. Na tarifa hizo za uongo zilidai amefariki kwa ugonjwa wa Covid 19.
Dkt. Mpango alituma sms kwa mkuu wa nchi yetu kuwa amewasamehe waliomzushia uongo kuwa amekufa.Sasa wakimuona sijui watajisikia vipi. Aibu kubwa kwa wanafiki. Zaidi soma Dkt. Philip Mpango: Mimi ni mzima, walionizushia kifo nimewasamehe
hii awamu chenga sana, yaani Jiwe akikuambia sasa hv ni mchana...kama uko ndani ya nyumba toka nje uende ukajiridhishe kama ni mchana kweli au usiku!!!.