Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

..Yap!!

..wananchi tunaambiwa tumetegemee MUNGU peke yake.

..wakati VIONGOZI wanategemea MITUNGI YA OKSIJEN, baada ya hapo ndio wanamlilia MUNGU.
Ahahahahaha
 
🙏

🙏 Yaani kifo kimetuuma hicho. Yaani leo tunaambiwa Hali ya upumuaji imetengamaa usiku wake anaondoka. Jiwe Aache mzaha na maisha ya watu.

Nina jamaa yangu kijana in his 30s huu ugonjwa umemuathiri vibaya. ametoka hospitali lakini hajatengemaa bado. i wish Jiwe angewaachia wataalamu wawe mstari wa mbele kuwaelekeza wananchi nini cha kufanya.

siungi mkono lockdown, lakini nadhani jamii ingeweza kuelekezwa namna nzuri ya kujikinga kwa barakoa, usafi wa mikono, na njia nyingine zilizo ndani ya uwezo wetu.
 
Baada ya Mpira wa Simba kumalizika nilipata mda kidogo kumsikiliza Dr Mipango nilijifunza mengi katika press yake ya leo.

Kwanza kabisa pole sana Dr. Mipango Changamoto ya upumuaji sio jambo dogo kwakweli.

Na hili ndio jambo njema katika kupata tiba bora katika hospital zetu chini ya Madaktari bingwa wenye ujuzi na ufahamu wa mwili wa binadamu.

Dr mipango bado hujapona? Lakini mimi binafsi nakuombea kwa Mungu upone kwa haraka na wakati.

Jambo la msingi kulikuwa hakuna ulazima wowote kutoka na kujibu hoja za watu mitandaoni kama viongozi wenu wa juu wanavyosema kuwa “hatufanyi kazi kwa kauli za mitandao “.Kwakweli umepambana sana.

Mzee wetu hivi kulikuwa na ulazima wowote wa kufanya press katika hali kama hii? Au ulipewa malimao na Tangawizi? ,Kama viongozi wetu wa nchi wanavyowaambia wananchi?

Changamoto ya upumuaji si kitu cha mchezomchezo. Mungu wako ni mkubwa sana.

Naomba kusema jambo hili pia chama cha Madaktari kilisema changamoto za upumuaji ni dalili za Corona lakini sio ugonjwa wa corona, wewe ni kiongozi umetibiwa first class na hali yako ipo hivyo. Je unadhani watu wa hali ya chini wanaweza kupata huduma kama uliyopata wewe?

Tusiwadanganye wananchi huu ugonjwa Mtu anaweza kuugua Covid zaidi ya mara moja usipokuwa makini!!

Kumtaka Mipango waaminishe wananchi kuwa sio nilikuwa naugua corona ni utoto tu.

Binafsi najua watanzania ni wavumilivu sana,maana wamekuwa na nyinyi kwa karne sasa, msiwaache wenyewe maana hii ndio nguvu kazi.

Mr mkiki.
 
Jifukizeni kwa nyungu, mtungi wa oksijeni nyumbani sio kwa kila mtu.
WHY?

Au mitungi ya oksijen inatengenezwa na mabeberu?

Kwamba mabeberu wanaweza kuweka upupu kwenye mitungi ya oksijen ili kutuuwa?
 
jambo linashangaza sana sana yaani Dr Mpango anaongea na media kuna watu wamekaa karibu nae hamna mask,kwa kweli jamani mwafrika ni mwafrika tu
Ndo Maana mwarabu alikuwa anatutoboa miguu anatufunga minyororo. Watu Kama Hawa madaktari wazembe wanazidi kutudhalilisha sisi waafrika miaka mingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa
 
Mpango anaumwa sana bado, kama umeuguza mgonjwa wa Covid utajua Mpango hajapina, swali, kwanini ameuamua kuifanyia siasa afya yake? Kw maslahi ya nani hasa?
 
Ukimsikiliza kwa Makin kabisa
Anaanza maongezi akionekana mnyonge, anayekohoa sana na asiye na nguvu,
Mwenye bado baadhi ya vifaa na dalili za matibabu mkononi,

Sikiliza video na angalia kwa makini

Sikuona sababu ya yeye kujitokeza atumike kisiasa,

Maswali Muhimu:
Je katoka kwa hiari yake?
Kapewa oda kwamba kaseme hili na lile?
Baada ya hapo karudi wapi?


Britanicca
 
Bado hajapona,sema ICU wanaamini siku 21 mtu tokea awe positive,hawezi ambukiza tena. Hiyo ni theory tu. Hao Ma Dr wanajiaona vijana hata wakipata hawatakuwa na hatari ya kuzidiwa. Sema wanasahau wanaweza ambukiza baba zao,mama zao. Too sad.
Huna akili mpuuzi wewe.
 
..unao mtungi wa Oksijen nyumbani kwako?

..Dr.Mpango alitumia mtungi wa oksijen kwa wiki mbili kabla hajahamishiwa hospitali.
Kwani Mpango yeye hiyo oksjeni alitoka nayo nyumbani kwake?!
 
Unajipendekeza or what? Tanzania Haiuna Corona ila Kuna changamoto ya Upumuaji'.
 
Ila ulitaman usikie zile za wanakufa tu wanalazwa wanazidiwa.

Hii habari hata BBC hawqwez tangaza manake hawapendi watu wapone Ila wanapenda sana takwimu za vifo Pamoja ma wewe

Na bado
 
Ametupa tumaini sana kupona yeye imeonesha pia kumbe wapo wanaopona ametupa ujasir
 
Back
Top Bottom