Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kwanini unaruhusu chuki kuugubika ukweli!? Hakika hiyo ni hatarii kubwa kwa afya ya akili yako.

..Ni Dr.Mpango mwenyewe ndio amesema alikuwa akitumia mtungi wa gesi kwa wiki mbili kabla hajahamishiwa hospitali. Sasa chuki inatoka wapi hapo? Kuna ubaya gani kila kaya kupewa mtungi wa oksijen?
 
Mala paap kesho asubuhi tunaamka na taarifa ya kifo cha ghafla cha mwigizaji Chilipo Mipango
 
Huyu Mzee bado anaumwa hata Sura yake na sauti inatia mashaka. kama mtungi wa Gesi umepungua mwambieni akajazie tena akae standby maana muda wowote anaweza kurudi tena
Issue sio mtungi Bali mapafu. Shangazi yangu alipigana na huo ugonjwa wiki 2 mpaka Madaktari wakaihakikishia familia kuwa ameshaushinda ugonjwa lakini Mambo yalibadika ghafla akafariki.

Walichokuja kusema tena wale wale Madaktari ni kuwa mapafu yalikuwa yameathirika Sana. Ugonjwa huu ni mbaya Sana.
 
Nimefurahi hapo kwenye"Nitamshauri mh.Rais tuboreshe vya kwetu"
Hivi Na kiwango chake Cha elimu level ya PhD hajamshauri Rais tu mpaka leo? Au kwa vile corona haiwezi kwenda kutibiwa India ambako Sisi kajamba Nani hatuwezagi kwenda?
 
Issue sio mtungi Bali mapafu. Shangazi yangu alipigana na huo ugonjwa wiki 2 mpaka Madaktari wakaihakikishia familia kuwa ameshaushinda ugonjwa lakini Mambo yalibadika ghafla akafariki. Walichokuja kusema tena wale wale Madaktari ni kuwa mapafu yalikuwa yameathirika Sana. Ugonjwa huu ni mbaya Sana.

..Pole sana mkuu.
 
... na bado, huo ni mwanzo tu

mtungi wangu wa 0² mpelekeeni kiongozi wangu wa nchi kule Chatto
 
..Yap!!

..wananchi tunaambiwa tumetegemee MUNGU peke yake.

..wakati VIONGOZI wanategemea MITUNGI YA OKSIJEN, baada ya hapo ndio wanamlilia MUNGU.
Ilitangazwa rasmi kuwa alikuwa anasumbuliwa na huo ugonjwa au watu wanasadiki tu kuwa alikuwa anasumbuliwa nao?
 
Jifukizeni kwa nyungu, mtungi wa oksijeni nyumbani sio kwa kila mtu.
 
SMS aliandika wife jamani.

Kama leo ni siku yake ya tatu tangu atoke kwenye oxygen machine hii maana yake ni nini? Maana yake ni either rais alitudanganya kwamba ali chat naye au alikua akichat naye akiwa under intensive care huku akiwa kwenye oxygen machine
 
Yap

Wananchi tunaambiwa tumetegemee MUNGU peke yake.

Wakati VIONGOZI wanategemea MITUNGI YA OKSIJEN, baada ya hapo ndio wanamlilia MUNGU.
JK alishasema kuwa za kuambiwa changanya na zakwako.
 
Back
Top Bottom