Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Hongera ...haya njoo sasa utangaze kwamba Corona ipo nchini na ni tishio!!
 
Kuna ulazima gani wa kujitangazia afya yako Kama hakulazomishwa kuutangazia umma Basi kafanya kosa kubwa sana
 
Huyu jamaa bado anaonekana mdhaifu asijikaze kisabuni yakatokea ya kutokea, badala ya kufanya press conference angetumia muda huo kupumzika ili aimarike zaidi
 
Pole yake sana...

Asifanye kazi ngumu ngumu kwa kipindi kirefu kidogo...
 
Hivi ukiwa kwenye oxygen unaweza kuandika na kutuma meseji? Maana kama leo ni siku ya tatu ndio hajatumia oxygen, ile meseji tulisomewa wiki iliyopita ilitoka wapi?
 
Kama leo ni siku yake ya tatu tangu atoke kwenye oxygen machine hii maana yake ni nini? Maana yake ni either rais alitudanganya kwamba ali chat naye au alikua akichat naye akiwa under intensive care huku akiwa kwenye oxygen machine
 
Kwani lazima avae?
..kama anajijua ameugua corona ni busara na uungwana kuvaa barakoa.

..pia inashauriwa kuziba kinywa kila anapokohoa au kupiga chafya ili asisambaze maambukizi.

..bahati mbaya sikuona Dr.Mpango akizingatia hayo wakati wa press conference.

..kibaya zaidi Dr.Mpango alikwenda kushikana mikono na wauguzi na madaktari baada ya press conference.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…