Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Mungu aendelee kumpigania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi vaa barakoaWewe!
nadhani una miss the point hapa. barakoa si dawa. ila inapunguza transmission.Nani alivaa barakoa akapona corona?
Nani kakudanganya barakoa inazuia korona??Hujui ana corona huyo anatakiwa avae barakoa ili asiambukize wengine?
Ilipikwa?Hivi ukiwa kwenye oxygen unaweza kuandika na kutuma meseji? Maana kama leo ni siku ya tatu ndio hajatumia oxygen, ile meseji tulisomewa wiki iliyopita ilitoka wapi?
Kama anapenda je?Haipendezi sana kumtoa mgonjwa wodini na kumletea waandishi wa habari
You must be crazy!Nani kakudanganya barakoa inazuia korona??
Yeye anadhani ile ni ukimwiMwache ajisahau impitie mazima ile sii kwamba ukishaugua ukapona eti ndio haikupati tena.
Wee tamba tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama leo ni siku yake ya tatu tangu atoke kwenye oxygen machine hii maana yake ni nini? Maana yake ni either rais alitudanganya kwamba ali chat naye au alikua akichat naye akiwa under intensive care huku akiwa kwenye oxygen machineWaziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa.
Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa kila mmoja na imani yake na atatuvusha. Amenivusha mimi na wengine ninaowaacha hapa atawavusha.
Nilikuwa nafungua mitandao, ni mambo ya ajabu sana. Nimeonja upendo mkubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na wananchi wenzangu wa Buhigwe, wawe na amani na muda si mrefu nitakwenda kuwatembelea
Madaktari, manesi, wataalamu wa viungo, mpaka wahudumu nawashukuru sana kwa huduma nzuri mlizonipa katika kipindi chote. Ni vijana lakini wanafanya kazi kubwa sana"
Natoa pole sana kwa familia zilizopoteza wapendwa kwa wiki mbili nilizokuwa hapa na nyumbani. Ningeshiriki msiba wa Maalim Seif, Balozi John Kijazi na jana nimempoteza mwalimu wangu wa pekee, Profesa Benno Ndulu na mdogo wangu Atashasta Nditiye"
Kulikuwa na vishawishi, hamia Dar es Salaam, hamia huku nikasema hapana, hospitali ni nzuri kabisa na wataalamu walioiva. Sababu ya kukimbilia Ulaya, haipo. Tuboreshe vya kwetu na kwa nafasi aliyonipa Rais, nitamshauri kuboresha zaidi
Ikumbukwe watu wasio wema walizua taarifa za uongo kuwa amefariki baada ya kulazwa. Na tarifa hizo za uongo zilidai amefariki kwa ugonjwa wa Covid 19.
Dkt. Mpango alituma sms kwa mkuu wa nchi yetu kuwa amewasamehe waliomzushia uongo kuwa amekufa.Sasa wakimuona sijui watajisikia vipi. Aibu kubwa kwa wanafiki. Zaidi soma Dkt. Philip Mpango: Mimi ni mzima, walionizushia kifo nimewasamehe
..kama anajijua ameugua corona ni busara na uungwana kuvaa barakoa.Kwani lazima avae?
Dduuuh.Mwache ajisahau impitie mazima ile sii kwamba ukishaugua ukapona eti ndio haikupati tena.
Wee tamba tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Onesha alievaa barakoa akapona koronaYou must be crazy!