Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Mpango anaumwa sana bado, kama umeuguza mgonjwa wa Covid utajua Mpango hajapina, swali, kwanini ameuamua kuifanyia siasa afya yake? Kw maslahi ya nani hasa??
Ukikubali kuolewa basi lazima ufuate masharti ya ndoa!
 
Ukimsikiliza kwa Makin kabisa
Anaanza maongezi akionekana mnyonge, anayekohoa sana na asiye na nguvu,
Mwenye bado baadhi ya vifaa na dalili za matibabu mkononi,

Sikiliza video na angalia kwa makini

Sikuona sababu ya yeye kujitokeza atumike kisiasa,



Maswali Muhimu:
Je katoka kwa hiari yake?
Kapewa oda kwamba kaseme hili na lile?
Baada ya hapo karudi wapi?


Britanicca
Unategemea angefanyaje?
 
Mbona hali tete na anatia huruma ! Kwani kulikua na ulazima wa press?
 
Ila ulitaman usikie zile za wanakufa tu wanalazwa wanazidiwa.

Hii habari hata BBC hawqwez tangaza manake hawapendi watu wapone Ila wanapenda sana takwimu za vifo Pamoja ma wewe

Na bado
Kweli bado ugonjwa upo sana
 
Hiyo hawataki kujiuliza wanatakiwa wajue ni matokeo ya namna wanavyowatendea watu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Mpango asipopendwa na bavicha wachache haimzuii yeye kuendelea na maisha yake.

Hata Lisu alipokuwa anaona coment za kwa kigogo zikimponda Magu alifikiri ndio tz ile kwa hiyo angojee kuapa
 
Kuna huu utamaduni mbaya wa kuombeana vifo sijui nani ameturoga watanzania hawa wanaofurahia vifo vya wengine kana kwamba wao wataishi milele huu ni ujinga wa kupindukia kabisa shubamiit pole sana Dk Mpango sisi watanzania tuko pamoja na tutakuombea urejee kulitumikia taifa
 
Kwanini ukutumia ungo kukupepea? Fikiria iwapo umetumia mitungi ya oxygen zaidi ya siku kumi, wangonjwa wangapi wamekufa kwa kukosa huduma hiyo, nilimtegemea utaungana na watanzania wachache wanaosisitiza hatua zaidi za kujikinga na Covid-19 zichukuliwe, wewe unamsifia mtu ambae anamsifia mtu asiye vaa barakoa, unamatatizo sana!
 
Mtu unadhalilisha utu wako kiasi hiki for what!?!?
Unahangaika kumprove wrong kigogo a virtual person....huu ni ukichaa.
Dr Mpango bado anaumwa sana, na anaona aibu kitu ambacho sio dalili nzuri.
Mola amsimamie.
 
Kwanini ukutumia ungo kukupepea? Fikiria iwapo umetumia mitungi ya oxygen zaidi ya siku kumi, wangonjwa wangapi wamekufa kwa kukosa huduma hiyo, nilimtegemea utaungana na watanzania wachache wanaosisitiza hatua zaidi za kujikinga na Covid-19 zichukuliwe, wewe unamsifia mtu ambae anamsifia mtu asiye vaa barakoa, unamatatizo sana!
Tena madaktari walianza kumtibu akiwa nyumbani kwake, ni watanzania wangapi wanafuatwa na madaktari nyumbani?
 
Mungu wa mbinguni ambariki!

Asisahau kwenda Kanisani kutoa fungu la kumi.
We Mzee we we,fungu LA kumi linahusiana nini na sadaka ya shukurani.

Unaendaga kanisani kweli,au ibada yako unafanyia kijiweni kwa Mzee Mgaya.
 
Back
Top Bottom