NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Naona kitengo kimefanikiwa kumuondoa mama kwenye Reli sio!!?Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Hivi nyinyi mnaamini kabisa huyu mama ni mkatili?Kama nakuelewa vile
Wewe endelea kuota tuAndiko lako hili limenifanya niwe na wazo kichwani mwangu.
Huyu mwanamke anaweza kuwa kishajiandalia sehemu ya kukimbilia mambo yatakapomzidi kimo.
Sioni huyu akiendelea kuishi humu humu nchini kwa jinsi hali inavyoendelea kujipambanua.
Huyu atakuwa ni Idd Amin wa pili toka ukanda huu kukimbilia uarabuni kwenda kumaliza maisha yake huko.
Hii inatukumbusha wakati wa Raisi Salmin Amour kule Zanzibar Machano Khamis na wezake 18 walivoshitakiwa kwa kesi ya Uhaini walinyea MTONDOO sio chini ya miaka 3 DR slaa na wezake wajiandaeAmeandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Uko sawa 100%Nchi inaongozwa na Kinana, Makamba , Nape, JK mama anaambia kaa hapo tulia usiogope.
Mama asome historia ya Chief Dodo na Chief Swarwat.Hii inatukumbusha wakati wa Raisi Salmin Amour kule Zanzibar Machano Khamis na wezake 18 walivoshitakiwa kwa kesi ya Uhaini walinyea MTONDOO sio chini ya miaka 3 DR slaa na wezake wajiandae
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Huu ndiyo ukweli ambao wengi hawauoni. Kuna Kampeni inaendelea dhidi ya mama, kuna watu wamedhamiria, by hooks or crooks.Mimi naamini kwa Chato kabisa haya yanayoendelea siyo maagizo ya Samia.
Mama anayo nafasi ya kusimama kama Rais na kukomesha huu uhaini anaofanyiwa ndani ya mfumo wake.
Ni hakika jamaa wamedhamiria 2025 mgombea Urais asiye mama, hizi medani za kivita za kumdhoofisha na kumchonganisha umma ili anuke ubaya na wanaelekea kufanikiwa.
Usalama wa Samia ni kuamka usingizini sasa na kutoka maagizo kama amiri Jeshi mkuu.
Haiwezekani Kamwe mtu anayejitahidi kurekebisha mifumo ya haki eti hiyo huyo ndio awe mratibu wa hiki kinachoendelea, hili si kweli hata kidogo namuonea huruma sana huyu mama.
Kama angalikuwa ni mama yangu ningemshauri aongoze kipindi kimoja akae pembeni watamuuwa.
Maadui wa mama na Wahaini halisi siyo upinzani Bali wapo ndani ya Ccm na kwenye mifumo, mnapowaona kina Kassimu wapo kimyaa kama hawapo jiongezeni akili.
Eti kipenzi cha watanzania wengine tume huru ya uchaguzi ndio mtajua kuwa uyo ni kipenzi cha watanzania au sivyo"Ni kipenzi cha watanzania"[emoji419] utathibitisha 2025! G/E.
Maneno ya kwenye club za pombe yasichukuliwe na serikali kuwa serious
Dikteta SamiaAmeandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Sifa ya ubalozi wameiondoa?Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Nani tena? mdudeYote tisa cha msingi kuna mtu anajua fika kuwa vyesi vya mchongo mwisho wake ni aibu mahakamani.Hapa ni kudhalilishana na kupotezeana muda tu.Hakuna cha uhaini Wala nini.
Wewe ni mbumbumbu. Unapongelea Katiba hakuna kufanya reference kwa kitu kinaitwa "Sura ya" bali kuna ni "Ibara ya". Umekwenda kwenye Katiba kwa ujinga wako na kuleta uliyoyaleta.Acha upotoshaji Kenge wewe. Sura ya Saba inaongelea maswala ya Mchango na Mapato, halafu ninyi mnaanza kutuletea upotoshaji.
Ndiyo maana huwa mnajibadili hadi matumizi ya kijinsia na kugeuzwa Mashoga.View attachment 2716770
Chezea DP world wewe!!Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Huyu mama kachukia sana. ana dili za wizi nyingi na waarabu , sasa hii moja imevuja na watu wameishikia bango, ile ya ngorongoro watu walipiga kimnya...pia kapoteza mvuto kwa kasi ya 5G.. Hapo anafikiri dili za wizi zilizobaki na waarabu zitakuweje? Mwisho wa siku anatoa maamuzi mabovu sababu ya Hasila zake...SIKU YA KUFA NYANI ....