mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hawa wanasiasa wanacheza draft mtaji wao wananchi...Anarudi mdogo mdogo..
Leo wanasema hiki kesho kile
Nyekundu leo,kesho nyeusi nyekundu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wanasiasa wanacheza draft mtaji wao wananchi...Anarudi mdogo mdogo..
Yes anagalizo ni muhimu sana, pia ameongea vya msingi sana kwa ambao hatuyajuiHuyu mzee naona ana mission ya kurudi chadema tena nawaonya chadema wawe makini na mtu huyu siasa za divide and rule zisharudi tena
Play the ball NOT man, jadili aliyoyasema ,mbona wewe ni shoga na hatujadili hili maana umeamua kuwa shoga ILA hoja zako hapa nitazijadiliMpaka siku atakapokili na kuweka wazi jinsi alivyonunuliwa na akahamishiwa Canada chini ya ulinzi na baadae akapewa ubaluzi,atakua bado anaendeleza unafiki wake tu!!
Aliasi upadri,akaasi ndoa yake na kuopoa kimada,akaasi CCM na kuhamia CHADEMA,akaasi CHADEMA na kuhamia CCM tena,anaaminika?!!
..Msikilize Dr.Slaa akielezea hila na hujuma za Tiss, na Polisi, dhidi ya Chadema.
..Kabla ya kesi ya ugaidi ya Mbowe na Chadema kulikuwa na kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare.
..Dr.Slaa ameeleza jinsi Tiss na Polisi walivyoshiriki kutengeneza kesi ya Lwakatare.
Hii ndio hoja ya kujadili ,udhaifu wake binafsi hainuathiri mimi,kilichopp mbele yetu ni hoja zake ni za kweli?au sio..wewe unataka kutuhamisha kwenye hoja alizoziibua Dr.Slaa kuhusu Polisi na Tiss na hujuma zao dhidi ya Chadema.
Sawasawa mkuu...wiki iliyopita.
Kwa sasa Chadema hawana katibu mkuu wa maana. Kwahiyo ni lazima atengenezewe mazingira ya kurudi.Huyu mzee naona ana mission ya kurudi chadema tena nawaonya chadema wawe makini na mtu huyu siasa za divide and rule zisharudi tena
Anarudi ChademaHuyu mzee ana ajenda gani
Tundu Lisu atakuwa Mwenyekiti, Mnyika Makamu mwenyekiti na Dr Slaa anarejea kama Katibu mkuuKwa sasa Chadema hawana katibu mkuu wa maana. Kwahiyo ni lazima atengenezewe mazingira ya kurudi.
Nina imani makamu mwenyekiti anajua kinachoendelea.
Slaa huyu huyu aliyesema Chadema wanatekana ili kuichafua serikali leo anasema dola inawahujumu?
Huyu watu walipokuwa kwenye kampeni ya Mbowe sio gaidi si ndio alipinga na kusema wanamkera?
Huyu si ndio alisema Tundu Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida?
Kwa sasa Chadema hawana katibu mkuu wa maana. Kwahiyo ni lazima atengenezewe mazingira ya kurudi.
Nina imani makamu mwenyekiti anajua kinachoendelea.
Haaminiki tenaHuyu mzee naona ana mission ya kurudi chadema tena nawaonya chadema wawe makini na mtu huyu siasa za divide and rule zisharudi tena
Week Jana club house hii naona zinaanza kumkaa vizuri Mzee huyuYa lini hii...
..Msikilize Dr.Slaa akielezea hila na hujuma za Tiss, na Polisi, dhidi ya Chadema.
..Kabla ya kesi ya ugaidi ya Mbowe na Chadema kulikuwa na kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare.
..Dr.Slaa ameeleza jinsi Tiss na Polisi walivyoshiriki kutengeneza kesi ya Lwakatare.