Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ni mnafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema yamepokelewa lkn yamekatwa mikia.Na unasemaje yule dhalim baada ya kusema majizi yamekimbilia Chadema kisha akayapokea majizi kwa bashasha?View attachment 2500990
Huyu Slaa huyu, eti leo anaitetea Chadema..Ni mnafiki
View attachment 2501000
Uongozi mpya wa Chadema umeshapangwa Dr Slaa anarejea kama Katibu mkuuHivi unawajuwa wanasiasa lakini
Hao ni wazee wa game changer
Ova
Hata kama inatakiwa tujadili hoja, ni lazima pia hiangaliwe credibility ya mtoa hoja...jadili hoja zake.
..usimjadili binafsi.
Kuna wajinga washasahauSlaa huyu huyu aliyesema Chadema wanatekana ili kuichafua serikali leo anasema dola inawahujumu?
Huyu watu walipokuwa kwenye kampeni ya Mbowe sio gaidi si ndio alipinga na kusema wanamkera?
Huyu si ndio alisema Tundu Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida?
Ni kama mtu anayejulikana kwa ulevi kupindukia anakuja kuhubiri habari ya mbinguni. HaiwezekaniHata kama inatakiwa tujadili hoja, ni lazima pia hiangaliwe credibility ya mtoa hoja.
😅😅😅😅Na unasemaje yule dhalim baada ya kusema majizi yamekimbilia Chadema kisha akayapokea majizi kwa bashasha?View attachment 2500990
Ndivyo inavyotakiwa ili tufikie maendeleo yanayotakiwa.Institutions za bongo ni uhuni mtupu, hivi vyombo kama TISS au police sio vya kutumikia watawala, vyombo kama hivi kwa nchi zilizoendelea haviwajibiki kwa Raisi au mwanasiasa yeyote na ni very independent, havitegemei budget au teuzi za Raisi na strictly report zao au kazi zao zinazuia mawasiliano yeyote au kuchukua amri kutoka kwa watawala, hapa ndipo umuhimu wa katiba mpya unatakiwa
Huyu mtu si wa kumwamini.Msikilize Dkt. Slaa akielezea hila na hujuma za Tiss, na Polisi, dhidi ya Chadema.
Kabla ya kesi ya ugaidi ya Mbowe na Chadema kulikuwa na kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare.
Dkt. Slaa ameeleza jinsi Tiss na Polisi walivyoshiriki kutengeneza kesi ya Lwakatare.
Ni dhahiri tangu kuondoka Dr SLAA, nafasi hiyo haijawahi kutendewa HAKI.Kwa sasa Chadema hawana katibu mkuu wa maana. Kwahiyo ni lazima atengenezewe mazingira ya kurudi.
Nina imani makamu mwenyekiti anajua kinachoendelea.
Lowasa mlimfuta kwenye orodha ya mafisadi?Slaa huyu huyu aliyesema Chadema wanatekana ili kuichafua serikali leo anasema dola inawahujumu?..... amekuwa mzuri lini...
Hii dunia tunaishi na mijitu mitapeli sanaNi mnafiki
View attachment 2501000
Hoja za mlevi, Malaya, Mwizi, Fisadi, Shetani hazijadiliki bila kumuhusisha huyo mtoa hoja.....jadili hoja zake.
..usimjadili binafsi.
Mpendwa Rais wa JMT, nakuomba umlambishe Dr. Slaa asali ili aache kutuchanganya.
Msikilize Dkt. Slaa akielezea hila na hujuma za Tiss, na Polisi, dhidi ya Chadema.
Kabla ya kesi ya ugaidi ya Mbowe na Chadema kulikuwa na kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare.
Dkt. Slaa ameeleza jinsi Tiss na Polisi walivyoshiriki kutengeneza kesi ya Lwakatare.
Kaishiwa, Mwanasiasa makini huwa stable. Huyu Dkt Slaa kapoteza uaminifu kwa wananchi, hasa alipokimbilia CCM na kutunukiwa Ubalozi. Yaani Ubalozi ndio akisaliti chama chake na wanachama wake. Tuache hayo!
Hii ni gia ya kutaka kurudi CHADEMA. Tafadhali CHADEMA msifanye kosa tena, mna vijana wengi wa kushika nafasi za chama. Slaa umri umekwenda, mawazo yake yamezeeka na fikra zake zina ukakasi.
Msikubali kurudi CHADEMA, acheni apige kelele tu huko nje. Msimuogope!