Dkt. Slaa afunguka mazito kuhusu hila za Dola na Polisi dhidi ya CHADEMA

Dkt. Slaa afunguka mazito kuhusu hila za Dola na Polisi dhidi ya CHADEMA

Mkuu hii ni zilipendwa, kipindi cha Magufuli hayo yalifanyika sana na Slaa akikaa kimya.

..Ni kweli walikaa kimya wakati wa Magu.

..Lakini mambo haya ni vizuri yasemwesemwe, vinginevyo itakuwa kama hayakutokea.
 
..Msikilize Dr.Slaa akielezea hila na hujuma za Tiss, na Polisi, dhidi ya Chadema.

..Kabla ya kesi ya ugaidi ya Mbowe na Chadema kulikuwa na kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare.

..Dr.Slaa ameeleza jinsi Tiss na Polisi walivyoshiriki kutengeneza kesi ya Lwakatare.


Naona Dr Slaa anakuja kivingine.

Kule club haouse hakosi kila siku.
Sijui huko ccm amekosa nini hadi arudi
 
Ndivyo inavyoonekana. Lakini si kashapata ulaji huko Swedeni? Anatafuta ni i tena.

..nafasi ya ubalozi ilikuwa kwa miaka minne.

..naamini Raisi ameshateua balozi mpya Sweden.

..angekuwa bado ni balozi tusingemsikia akitoa kauli kama hizi.
 
Nasubiri kuwasikia ndugu zangu wa CCM waliokuwa wanamsifu na kusema kila siku kuwa Slaa ndio alikuwa gwiji wa upinzani, kuwa tangu kuondoka kwa Slaa chadema imekufa. Sasa mzee wenu huyoooooo anajipendekeza kurudi chadema, sijui mtashika lipi sasa
 
..nafasi ya ubalozi ilikuwa kwa miaka minne.

..naamini Raisi ameshateua balozi mpya Sweden.

..angekuwa bado ni balozi tusingemsikia akitoa kauli kama hizi.
Lakini cheo cha ubalozi ni cha kudumu na maslahi yake yanaendelea hadi kufa
 
Nasubiri kuwasikia ndugu zangu wa CCM waliokuwa wanamsifu na kusema kila siku kuwa Slaa ndio alikuwa gwiji wa upinzani, kuwa tangu kuondoka kwa Slaa chadema imekufa. Sasa mzee wenu huyoooooo anajipendekeza kurudi chadema, sijui mtashika lipi sasa
😅😅😅mkuu
 
Huyu mzee naona ana mission ya kurudi chadema tena nawaonya chadema wawe makini na mtu huyu siasa za divide and rule zisharudi tena
Anataka Uraia Kwa nguvu. Sivyo basi anataka kuja kubomoa Ngombe imara ya CDM kuweni Naye makini.
Hata wake COVID idadi ya 19 watataka kurudi.
 
Akirudi sio mbaya sana.. Bado Slaa kwa jinsi alivyo anawazidi kete ma Ccm mengi sana...

Na kama chadema wakifanikiwa kumrudisha itakuwa ni jambo zuri.. mzee anajua kupiga mdomo yule.

Halafu uzuri tayar Chadema washamjua kwahiyo hawezi tena kuwasumbua.

Nashauri slaa arudishwe
 
🐒

images (69).jpeg
 
Back
Top Bottom