Dkt. Slaa afunguka mazito kuhusu hila za Dola na Polisi dhidi ya CHADEMA

Dkt. Slaa afunguka mazito kuhusu hila za Dola na Polisi dhidi ya CHADEMA

Dr Slaa ni mwanasiasa wa level ya juu mno. Ni mkubwa kuliko CHADEMA. Kwa hapa Tanzania Dr Slaa kisiasa yuko level ya Jakaya Kikwete na Edward Lowassa. Mwanasiasa anayewakaribia hao magwiji labda Zitto Kabwe.

CHADEMA kama mliweza kumpokea mtu mliyemtuhumu ni fisadi mtashindwa kumpokea mtu aliyekibeba chama mabegani? Acheni ku-pretend kwamba hamumtaki Dr Slaa wakati hali yenu ni mbaya.
 
Dr Slaa ni mwanasiasa wa level ya juu mno. Ni mkubwa kuliko CHADEMA. Kwa hapa Tanzania Dr Slaa kisiasa yuko level ya Jakaya Kikwete na Edward Lowassa. Mwanasiasa anayewakaribia hao magwiji labda Zitto Kabwe.

CHADEMA kama mliweza kumpokea mtu mliyemtuhumu ni fisadi mtashindwa kumpokea mtu aliyekibeba chama mabegani? Acheni ku-pretend kwamba hamumtaki Dr Slaa wakati hali yenu ni mbaya
Lumumba fc
 
Dr Slaa ni mwanasiasa wa level ya juu mno. Ni mkubwa kuliko CHADEMA. Kwa hapa Tanzania Dr Slaa kisiasa yuko level ya Jakaya Kikwete na Edward Lowassa. Mwanasiasa anayewakaribia hao magwiji labda Zitto Kabwe.

CHADEMA kama mliweza kumpokea mtu mliyemtuhumu ni fisadi mtashindwa kumpokea mtu aliyekibeba chama mabegani? Acheni ku-pretend kwamba hamumtaki Dr Slaa wakati hali yenu ni mbaya.
Haujulikani unaandika kichina au kiswahili !
 
Institutions za bongo ni uhuni mtupu, hivi vyombo kama TISS au police sio vya kutumikia watawala, vyombo kama hivi kwa nchi zilizoendelea haviwajibiki kwa Raisi au mwanasiasa yeyote na ni very independent, havitegemei budget au teuzi za Raisi na strictly report zao au kazi zao zinazuia mawasiliano yeyote au kuchukua amri kutoka kwa watawala, hapa ndipo umuhimu wa katiba mpya unatakiwa
 
..Ni kweli walikaa kimya wakati wa Magu.

..Lakini mambo haya ni vizuri yasemwesemwe, vinginevyo itakuwa kama hayakutokea.
Mkuu hakuna mwenye shaka na msimamo wa Slaa kabla ya uchaguzi wa 2015, lakini baada ya hapo ndio alikuwa sio. Hayo aliyopigia kelele kabla ya utawala wa Magufuli, wakati wa utawala wa Magufuli ndio yalikuwa dhahiri, na hakuongea chochote! Hivyo ukiweka hizo habari zake hapa muda huu ni kama kumpa promo asiyostahili.
 
Mpaka siku atakapokili na kuweka wazi jinsi alivyonunuliwa na akahamishiwa Canada chini ya ulinzi na baadae akapewa ubaluzi,atakua bado anaendeleza unafiki wake tu!!

Aliasi upadri,akaasi ndoa yake na kuopoa kimada,akaasi CCM na kuhamia CHADEMA,akaasi CHADEMA na kuhamia CCM tena,anaaminika?!!
Sasa anataka tena kuasi CCM, huyu niwakumuogopa kama ukoma, alichukia sana baada ya watu kumtetea Mbowe sio gaidi.
 
Slaa huyu huyu aliyesema Chadema wanatekana ili kuichafua serikali leo anasema dola inawahujumu?

Huyu watu walipokuwa kwenye kampeni ya Mbowe sio gaidi si ndio alipinga na kusema wanamkera?

Huyu si ndio alisema Tundu Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida?
Amekuwa mzuri lini....
 
Na ma cdm yalivyo yatampokea msaliti
Na unasemaje yule dhalim baada ya kusema majizi yamekimbilia Chadema kisha akayapokea majizi kwa bashasha?
FB_IMG_1581491063368.jpg
 
Dr Slaa ni mwanasiasa wa level ya juu mno. Ni mkubwa kuliko CHADEMA. Kwa hapa Tanzania Dr Slaa kisiasa yuko level ya Jakaya Kikwete na Edward Lowassa. Mwanasiasa anayewakaribia hao magwiji labda Zitto Kabwe.

CHADEMA kama mliweza kumpokea mtu mliyemtuhumu ni fisadi mtashindwa kumpokea mtu aliyekibeba chama mabegani? Acheni ku-pretend kwamba hamumtaki Dr Slaa wakati hali yenu ni mbaya.
Slaa huyu huyu aliyesema Chadema wanatekana ili kuichafua serikali leo anasema dola inawahujumu?..... amekuwa mzuri lini...
 
Back
Top Bottom