Hauwezi kusema hadharani uwa umeambiwa na afisa wa Usalama wa Taifa kuhusu mazungumzo binafsi kati ya Rais na raia mwingine wakipanga kuvunja sheria kwa kuwahonga watu ili wa subvert uchaguzi wa ndani wa chama pinzani ha siasa. Lazima ujue TISS watataka kujua ni nani aliyevujisha mazungumzo ya faragha ya rais.
Mimi siwezi kujua sababu za kumkamata usiku lakini inawezekana kuwa walitaka kuepuka tukio kuwa spectacle. The irony is, inawezekana ilikuwa ni sting operation. Kuwa alichomekewa huyo aliyedhani kuwa ni mtu wa TISS. He should have known better. Hakuwa na sababu yeyote ya kutaja source ya taarifa yake au hata kuwa yalikuwa ni mazungumzo yaliyomhusu Rais. Angesema tu kuwa ana taarifa ya mpango wa kuhujumu uchaguzi. Hayo ya nani kamwambia angeyamezea au angemwambia Lissu peke yake. Inasikitisha lakini kwenye hili kajitakia mwenyewe.
Amandla...
Kwa mawazo Haya, no wonder: