Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hauwezi kusema hadharani uwa umeambiwa na afisa wa Usalama wa Taifa kuhusu mazungumzo binafsi kati ya Rais na raia mwingine wakipanga kuvunja sheria kwa kuwahonga watu ili wa subvert uchaguzi wa ndani wa chama pinzani ha siasa. Lazima ujue TISS watataka kujua ni nani aliyevujisha mazungumzo ya faragha ya rais.

Mimi siwezi kujua sababu za kumkamata usiku lakini inawezekana kuwa walitaka kuepuka tukio kuwa spectacle. The irony is, inawezekana ilikuwa ni sting operation. Kuwa alichomekewa huyo aliyedhani kuwa ni mtu wa TISS. He should have known better. Hakuwa na sababu yeyote ya kutaja source ya taarifa yake au hata kuwa yalikuwa ni mazungumzo yaliyomhusu Rais. Angesema tu kuwa ana taarifa ya mpango wa kuhujumu uchaguzi. Hayo ya nani kamwambia angeyamezea au angemwambia Lissu peke yake. Inasikitisha lakini kwenye hili kajitakia mwenyewe.

Amandla...


Kwa mawazo Haya, no wonder:

Gg1mKSLWYAAyvA9.jpeg
 
Hauwezi kusema hadharani uwa umeambiwa na afisa wa Usalama wa Taifa kuhusu mazungumzo binafsi kati ya Rais na raia mwingine wakipanga kuvunja sheria kwa kuwahonga watu ili wa subvert uchaguzi wa ndani wa chama pinzani ha siasa. Lazima ujue TISS watataka kujua ni nani aliyevujisha mazungumzo ya faragha ya rais.

Mimi siwezi kujua sababu za kumkamata usiku lakini inawezekana kuwa walitaka kuepuka tukio kuwa spectacle. The irony is, inawezekana ilikuwa ni sting operation. Kuwa alichomekewa huyo aliyedhani kuwa ni mtu wa TISS. He should have known better. Hakuwa na sababu yeyote ya kutaja source ya taarifa yake au hata kuwa yalikuwa ni mazungumzo yaliyomhusu Rais. Angesema tu kuwa ana taarifa ya mpango wa kuhujumu uchaguzi. Hayo ya nani kamwambia angeyamezea au angemwambia Lissu peke yake. Inasikitisha lakini kwenye hili kajitakia mwenyewe.

Amandla...
Hizi ni siasa tu za kutupiana maneno, Dr Samia ni Mwenyekiti wa CCM akishutumiwa kuingilia mambo ya Chadema wala sio jambo la ajabu kwenye minyukano ya kisiasa.
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Slaa hajawahi sema uongo miaka yake yote tokea kwa Mkapa hadi Sasahivi hata hakina Lissu na Mbowe walikuwa wakitembelea nyota ya Slaa,waga haropoki huyu Mzee ukiona ametamka kitu jua ananyaraka tiyari, aliwahi kumtaja Mkapa kwenye rist ya mafisadi wakati hakiwa rais.
 
Sema wangemuachia tu huyu mzee, wala sio SILAHA dhidi ya mfumo... Yeye ni SLAA dhidi yake yeye wa jana...

BTW, kwa upepo ulivyo wa kisiasa na ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi na ukizingatia mijadala mbalimbali humu ya kidini, kisiasa, kiutamaduni na kikanda, basi mambo kama haya ya huyu Daktari yangekua yanashughulikiwa in a very secretive and friendly way, kuepusha taharuki mitaani.

Najaribu kujenga picha kubwa, nini anawaza Kitima/Kitime muda huu, nini anawaza Lissu muda huu and so forth na pande zote nufaika za taifa letu.

So nachelea kusema ni muhimu TUKAVUMILIANA kuepusha mengi zaidi mbele.
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Wewe ni aina mojawapo ya wapumbavu walioko Tanzania!
 
Back
Top Bottom