Nakushauri tu, kabla hujaitafuta hiyo AK47, tafuta darubini ya kukuza umbo la huyo chawa, halafu mlenge vizuri na umzabe sawasawa.Yajayo yanasikitisha!Ngoja nijifunze shabaha ya kumlenga chawa kwa kutumia AK47!Ntafaulu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri tu, kabla hujaitafuta hiyo AK47, tafuta darubini ya kukuza umbo la huyo chawa, halafu mlenge vizuri na umzabe sawasawa.Yajayo yanasikitisha!Ngoja nijifunze shabaha ya kumlenga chawa kwa kutumia AK47!Ntafaulu tu.
Kugawa kitu milele ina tafsiri 1 au 2 tu, kuuza au kugawa zawadini vizuri akaonyeshe hiyo bandari iliyouzwa huko Mbeya
Huenda ana kazi maalumu (ufukunyuku) anayotegemewa kuifanya mara watakapounganishwa na wale wengineee ....Hivi Balozi Hana kinga ya kutoshitakiwa?
Kwani kumvua hiyo Kinga inahitaji sekunde ngapi?Hivi Balozi Hana kinga ya kutoshitakiwa?
Mbona wanakomaa wasifike mahakama kuu ya Kisutu 🤣Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .
Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .
View attachment 2717521
Wewe ndio umempuuza ila watanzania wenye akili wanamuelewa.Asafirishwe na kufikishwa haraka sana maana hatuwezi kuwalea na kuwaacha watu aina ya Slaa wakiendelea kuchochea machafuko na vurugu hapa nchini kisa tu wamepewa na kuhongwa vifedha. Tulitegemea mtu wa umri wake atumie busara ,hekima katika kupima kauli zake kabla ya kufungua kinywa chake.lakini badala yake amekuwa mtu wa kuongea tu lolote linalotua katika kinywa chake pasipo kupima athari zake katika jamii na usalama wa Taifa letu.
Hata hivyo alichokuwa amesahau ni kuwa kwa sasa watanzania walishampuuza na hakuna mwenye akili Timamu awezaye kumsikiliza wala kumuunga mkono. Hakuna anayemuamini wala haaminiki machoni pa Watanzania.Ameshindwa kujiongoza acha aongozwe kwa sheria. Hastahili kuitwa Balozi maana ni Balozi wa kuhamasisha machafuko na uhaini kwa Taifa letu ,.Anataka serikali ipinduliwe baada ya kuona njia za halali hawezi kufanikiwa na kufanikisha ajenda zake.Hakuna wa kumuunga mkono wala kuambatana naye kikauli.
stupidNi vizuri akaonyeshe hiyo bandari iliyouzwa huko Mbeya
Hizi ni sarakasi tu, watamwachia na watawaachia soon, Mungu halali kamwe
Unaweza weka ushahidi wa hili hapa jukwaani?Si alisema Rais apinduliwe. Mwache akajue maana ya maneno aliyoyasema kisheria
Tuna polisi ya hovyo snHii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .
Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .
View attachment 2717521
Clip ninayo akihojiwa ila imeshindwa kupandaUnaweza weka ushahidi wa hili hapa jukwaani?
Alikuwa akihojiwa na naniClip ninayo akihojiwa ila imeshindwa kupanda
Kwenye mjadala I think wa clubhouseAlikuwa akihojiwa na nani