nimesikitika tu hakuna taya na viuno vilichopindishwa hapo kidogo wameteleza....Tuungane kwakweli kuwapongeza Police kuitikia wito wa maandamano tangu Jana usiku.
Ajira za police hazina security, RPC anaweza kumtimua police na asikate Rufaa kokote.
Ndani ya Katiba mpya ajira zao zitalindwa hivyo police wapongezwe Kwa kuitikia na kushiriki maandamano.
Message sent, Dunia inajua nini kumejiri Mbeya.
Aluta continua.
AminaTusikubali kuuziwa HOFU na WOGA.
Yote hayo hufanyika Ili wananchi waogope kujitokeza kuungana na manabii wetu kudai HAKI Kwa pamoja.
Aluta continua.
Polisi hawajalala usiku kucha.Nabii mwabukusi ni zaidi ya jeshi... Ni π₯ mwaisa
Hayo Si majukumu ya police.nimesikitika tu hakuna taya na viuno vilichopindishwa hapo kidogo wameteleza....
Ilitakiwa majambazi na waandamanaji haramu kadhaa wawe wanaita thimu badala ya simu, thatha badala ya sasa , humia badala ya umia n.k.n.k
Yes!Hayo Si majukumu ya police.
Wapo kulinda waandamanaji, raia na Mali zao.
Uoga wauzie wajinga, sio sisi tunaojitambua.
Slaa huyu ..huyu huyuu...Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Kwa nini wasitoke wakati walisema hawaogopi?Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Usiwe unakariri.Slaa huyu ..huyu huyuu...
Nonsense.
Ndio ukaandamane Sasa uitekeleze Haki,kwani maandamano yanafanyika jf? ππMaandamano ni HAKI ya kikatiba, haipo haja ya kupigana na yeyote.
Msitengeneze HOFU zisizo na msingi wowote.
Nabii mwabukusi ni zaidi ya jeshi... Ni π₯ mwaisa
Polisi wamewahi kuwalindaPolisi wanawazuia watanganyika kutekeleza haki yao ya kikatiba, ajabu sana, yani polisi wamegeuka wavunja sheria huku upande wa pili wao wakitaka kutii sheria bila shuruti, tuna jeahi la hovyo sana, limejaa wajinga wasiojielewa.
Dr.slaa anasema yupo anaskilizia hali itakuaje akiwa chini ya uvunguKwa nini wasitoke wakati walisema hawaogopi?
Pili kwani wafuasi wao wako wapi mbona Twitter Huwa wanaropoka sana si watoke mtaani? πππππ
Wasmbieni akina Mwabukusi na Mdude na Slaa kama hawana au hawajui wafanye nini basi tutawasaidia. Huu ujinga wa maandamano siyo utamaduni wetu.Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Asante sana mkuu 'Rabbon', kwa kunikumbuka katika haya mapambano yetu.Kalamu,
Uliuliza ni njia zipi zitatumika kuhakikisha tunapata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya 2025,
Naamini umeanza kuelewa.
Heri ya yeye aliye chini ya uvungu, kuliko wewe uliye chini ya rundo la kinyesi cha hao unaowashangila hapa.Dr.slaa anasema yupo anaskilizia hali itakuaje akiwa chini ya uvungu
Utamaduni wenu ni upi...? Nimeacha kujazia maneno hapo kukustahi tu, mtu kama wewe.Wasmbieni akina Mwabukusi na Mdude na Slaa kama hawana au hawajui wafanye nini basi tutawasaidia. Huu ujinga wa maandamano siyo utamaduni wetu.
Mwambie mwabukusi aende kwenye maandamanoTuna polisi wa hovyo sn