Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Aliyesema juu ya utetezi ni nani? Si wewe? Na kwani nimesema tusisubiri mawakili? Onyesha popote niliposema tusisubiri mawakili lasivyo wewe ni just another idiot!
Unajaribu kutwist kwani mimi nilisema uliandika kuhusu utetezi ??
 
Sikiza
Your browser is not able to display this video.
 
Wasisahau kumpelekea chakula chake pendwa huko Jela huyu Babu kwa Mihogo ni noma.
 
Kwenye swala la bandari, umeamua kujitoa ufahamu. Na umeingiza ushabiki usioisaidia nchi.
Kwa akili yako kuna kesi hapo ?!.

Hoja za udhaifu wa mkataba zijibiwe kwa hoja. Si kubambikiana kesi.

Muungano umeleta shida sana.
 
View attachment 2718158
Mzee mtondoo ataubeba sana
Bora wanyongwe tu huko huko wasirudi uraiana kwasababu hawaioni thamani ya Amani tulio nayo, yeye kapata nguvu ya kurudi nchin kwasababu kuna amani, hakuna mapinduzi bila damu kumwaga ni bora imwagwe yake yeye na hao wapuuzi wenzake kwaajili ya amani ya nchi na watu wake, huyo ni Mhaini.
 
Sisi kama Raia wema wa Taifa hili bila kujali vyama wala itikadi zetu tuwakemee wahaini wote au wale wenye nia ya uhaini katika roho zao
 
Mengine nadhani ni ya Mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…