macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unadhani hakuna mawakili mpaka mimi niende?ndio ukamtetee mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani hakuna mawakili mpaka mimi niende?ndio ukamtetee mahakamani
Hii maana yake nini:Wewe kwa akili zako za kuvukia barabara na kufugia nywele unafikiri kuna mapinduzi yalipangwa kufanyika?
Huwezi kuniingiza kwenye mjadala wa kidini never njoo na hoja nyingine.Na ajabu sikuomba univumilie! Au niliomba?
Kawe wakili wake dada
Ona wajinga wajinga walivyojaa. Ukisema mimi ni shoga ndiyo nitakuwa shoga?Sshoga ww
Sawa!Fanya maendeleo yako sasa. Hapa unafanya nini?
Tena kakuta Tanzania ni wapole sana, hapo ilikuwa afinywe hapo hapo alipo.The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa
Kwa hii kauli Dr Slaa anaweza kuchezea Kitanzi
Weka kwa urefu wake tujue aliongea nini..... hiyo fupi sana. Ni vigumu kutoa hukumuView attachment 2718158
Mzee mtondoo ataubeba sana
Unadhani hakuna mawakili mpaka mimi niende?
Umejuaje nimepandwa na ghalabu wakati hunioni? Nikikuambia nenda Youtube u-search ni kupandwa na ghalabu!Sawa!
Lakini wewe ndiye uliyeanzisha mada nami! Ulinijia sikukujia! Cha ajabu unapandwa na ghadhabu!
Ingekuwa ni Nchi nyingine huyu Babu angecheza na Firing squadTena kakuta Tanzania ni wapole sana, hapo ilikuwa afinywe hapo hapo alipo.
Mahojiano kwa ujumla yako onlineWeka kwa urefu wake tujue aliongea nini..... hiyo fupi sana. Ni vigumu kutoa hukumu
The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa
Kwa hii kauli Dr Slaa anaweza kuchezea Kitanzi
Aliyesema juu ya utetezi ni nani? Si wewe? Na kwani nimesema tusisubiri mawakili? Onyesha popote niliposema tusisubiri mawakili lasivyo wewe ni just another idiot!Si tuwasubiri hao mawakili ?? usiandikie mate na wino upo
Nakutakia amani ndani ya moyo wako! Mungu akutangulie!Umejuaje nimepandwa na ghalabu wakati hunioni? Nikikuambia nenda Youtube u-search ni kupandwa na ghalabu!
Huyu Babu kukurupuka koote kule hatimae kajiingiza kwenye kitanzi gereza la Uyui Tabora😆Inawezekana jamaa zimefyatuka ni afadhali akapimwe kwanza , pengine kukosa ubalozi kachanganyikiwa 😛 😛
Nakutakia mafarakano ndani ya moyo wako. Shetani akutangulie.Nakutakia amani ndani ya moyo wako! Mungu akutangulie!
Serikali ipi sasa?,maana haijatajwa hapo kama ni serikali ya instagramu?hio kesi haina mashikoThe Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa
Kwa hii kauli Dr Slaa anaweza kuchezea Kitanzi
Tuoneshe lini na wapi kuna kauli zingine za kisiasa kama hizo.