Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho yanafanyika haya alikuwa swideni. Mbona hakupaza sauti ya namna hiiiSitawapa salamu nimechafukwa
Dr. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba.
Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.
Dr. Slaa kachefukwa mno
Hivi unaujua utamu wa asali au unausikia, alipokuwa balozi mlisikia akiongea? halafu anajua wazi PM na Raisi haziivi, anajiongelesha apewe buyu la asali.Ndio mwisho wa kuwaza kwako? Kwa hio kila anaye toa maoni tofauti anataka asali? Watanzania milion 60 tunapaswa kuwaza sawa?
Slaa huu ndiye ninayemjua halisi asiye na rushwaSitawapa salamu nimechafukwa
Dr. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba.
Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.
Dr. Slaa kachefukwa mno
Ndiyo maana hawana uchungu wowoteHii serikali imeoza kabisa,viongozi hawana uhalali wowote wa kuongoza hii nchi
Ulivyokua balozi uchaguzi2020 ulikua free, fair and Credible, hapo hapakua na shida yeyote. Kutemwa na kupigwa chini ubalozi waziri mkuu kasim majaliwa si halali, Urais wa Samia Suluhu ni wa wasiwasi. Ama kweli dunia ni mviringoSitawapa salamu nimechafukwa
Dr. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba.
Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.
Dr. Slaa kachefukwa mno
We naye ni zwazwa haswaHiyo kesi ya wabunge waliopita bila kupingwa kwa ujumla wao ilifunguliwa lini? mahakama ipi?
Tukumbushane.
We naye ni zwazwa haswaHiyo kesi ya wabunge waliopita bila kupingwa kwa ujumla wao ilifunguliwa lini? mahakama ipi?
Tukumbushane.
Acha ututusaHiyo kesi ya wabunge waliopita bila kupingwa kwa ujumla wao ilifunguliwa lini? mahakama ipi?
Tukumbushane.
Bavicha mwenzako huyo🤣🤣We naye ni zwazwa haswa
Tuache asali kwanza tujadili hoja yakeHuyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Peleka ujinga huko, huyo ni UWT mwenzakoBavicha mwenzako huyo🤣🤣
Peleka ujinga huko, huyo ni UWT mwenzakoBavicha mwenzako huyo🤣🤣
Peleka ujinga huko, huyo ni UWT mwenzakoBavicha mwenzako huyo🤣🤣
Makamu wa Rais ndo kabsaaa hamna kitu.Hata hivyo waziri mkuu yuko kama hayuko.