Dkt. Slaa: Wapo viongozi walichaguliwa kwa uchaguzi unaopatikana Tanzania tu

Dkt. Slaa: Wapo viongozi walichaguliwa kwa uchaguzi unaopatikana Tanzania tu

Tuseme kwa urahisi tupo kwenye serikali ya mpito kumalizia kipindi cha marehemu Magufuli, tungojee 2025 kwenye uchaguzi mkuu tutapata waziri mkuu makamu na rais
 
Huyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Ashalamba ya kutosha hana njaa kama wewe.


Although unategemea nani aongee mambo kama haya alafu isionekane anataka asali?.

Wakati mwingine tufiche ujinga wetu kwa kukaa kimya.
 
bill like
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    28.2 KB · Views: 1
Kumbe kulikuwa na kesi juu ya wabunge kupita bila kupingwa na mahakama ilishatoa hukumu?
Sauti kutoka chato ilikufunika blanket zito. Asali uliyokuwa unalamba ilikupofusha kabisa juu ya hilo swala
 
Mtu anapiga mbinja kijiji kinaibiwa, kijiju kitaacha kufukuza mwizi kwa sababu mpiga mbinja alikuwa mwizi? Hovyoooo
Kuwa na msimamo kama mwanaume, wanawake anatongozwa leo anaachwa anasema wanaume ni mbwa, kesho anakuja yule yule mwanaume na maneno matamu zaidi analiwa mzigo anaachwa tena again and again,Slaa anatafuta attention anajua wananchi wengi wamechukizwa na suala la bandari na anatumia fursa kurudi kwenye spotlight alisha sahaulika, huyo mzee ni fundi wa kucheza na psychology za watu.
 
Sitawapa salamu nimechafukwa

Dr. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba.
Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.

Dr. Slaa kachefukwa mno
Na Nape Pia ni batili alipitia bila kupingwa
 
Siasa za Dr Slaa zinavutia lakini ndiyo hivyo Hana msimamo.
 
Back
Top Bottom