Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Haichekeshi.Akilabishwa hata nusu kijiko cha chai atabaki kujilamba tu amekaa kimyaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haichekeshi.Akilabishwa hata nusu kijiko cha chai atabaki kujilamba tu amekaa kimyaa.
Hukumu ilikuwa bado haijatolewaKipindi hicho yanafanyika haya alikuwa swideni. Mbona hakupaza sauti ya namna hiii
Ashalamba ya kutosha hana njaa kama wewe.Huyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Absolute corrupt corrupt absolutelyKwanini wanauza mali za watanzania sasa?
Hoja iko vizuri, tatizo akiwa na njaa akili zinarudi akilambishwa asali akili zote zinaruka.Tuache asali kwanza tujadili hoja yake
Mtu anapiga mbinja kijiji kinaibiwa, kijiju kitaacha kufukuza mwizi kwa sababu mpiga mbinja alikuwa mwizi? HovyooooHuyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Lakini ana hoja... Sema wananchi hawana upeo wa kumuelewaHuyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Sauti kutoka chato ilikufunika blanket zito. Asali uliyokuwa unalamba ilikupofusha kabisa juu ya hilo swalaKumbe kulikuwa na kesi juu ya wabunge kupita bila kupingwa na mahakama ilishatoa hukumu?
Kuwa na msimamo kama mwanaume, wanawake anatongozwa leo anaachwa anasema wanaume ni mbwa, kesho anakuja yule yule mwanaume na maneno matamu zaidi analiwa mzigo anaachwa tena again and again,Slaa anatafuta attention anajua wananchi wengi wamechukizwa na suala la bandari na anatumia fursa kurudi kwenye spotlight alisha sahaulika, huyo mzee ni fundi wa kucheza na psychology za watu.Mtu anapiga mbinja kijiji kinaibiwa, kijiju kitaacha kufukuza mwizi kwa sababu mpiga mbinja alikuwa mwizi? Hovyoooo
Na Nape Pia ni batili alipitia bila kupingwaSitawapa salamu nimechafukwa
Dr. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba.
Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.
Dr. Slaa kachefukwa mno
😃😃Peleka ujinga huko, huyo ni UWT mwenzako
Asali ili uipate lazima uongee kwa hoja huku ukiitishia serikali, huwezi ongea kama mlevi utaishia kufungwa, mzee kajipanga.Lakini ana hoja... Sema wananchi hawana upeo wa kumuelewa