Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kuna watanzania wajinga sana aisee. Sijui wapewe elimu gani wajitambue Slaa kasema ukweli.Ndio mwisho wa kuwaza kwako? Kwa hio kila anaye toa maoni tofauti anataka asali? Watanzania milion 60 tunapaswa kuwaza sawa?
Wewe na mfano wako ni vitu vya kupuuzwaKuwa na msimamo kama mwanaume, wanawake anatongozwa leo anaachwa anasema wanaume ni mbwa, kesho anakuja yule yule mwanaume na maneno matamu zaidi analiwa mzigo anaachwa tena again and again,Slaa anatafuta attention anajua wananchi wengi wamechukizwa na suala la bandari na anatumia fursa kurudi kwenye spotlight alisha sahaulika, huyo mzee ni fundi wa kucheza na psychology za watu.
Labda wewe Alichosema Dr.ni sahihi kwani Mahakama ilikwisha toka UAMUZI HUO jitahidi kutumia Akili zakoHuyu mzee anataka asali tu, akilambishwa anakaa kimya.
Hoja yake ni nzuri tatizo haaminiki.Wewe na mfano wako ni vitu vya kupuuzwa
Nimekuuliza jirani yako akipiga kelele nyumba yako inaungua, na wewe unaona moshi. utaanza kuhoji uaminifu wake?Hoja yake ni nzuri tatizo haaminiki.
Kwani asipopiga kelele sitofahamu nyumba inaungua, mtaa mzima tupo wawili? Acha mifano mfu.Nimekuuliza jirani yako akipiga kelele nyumba inaungua yako inaungua, na wewe unaona moshi. utaanza kuhoji uaminifu wake?
Ngoja arudishwe swideni tenaHukumu ilikuwa bado haijatolewa
KabisaNdiyo maana hawana uchungu wowote
Tukubali kuwa kwenye siasa, au masuala ya kimkakati vyote vinaweza kuwa “suala”. Tena ukiwa maarufu kama Dr Slaa, unakuwa sehemu “context” - mazingira - ya unachosema. Lazima vyote vipimwe kwa pamoja ili uzito wake uthaminiwe. Jus’ for the sake of credibility.Naona mna attack mtoa mada na kuacha mada
Yapo mengi batili nchi hii.Sitawapa salamu nimechafukwa
Dkt. Slaa anaeleza kwamba Mahakama ilishatengua ubunge wa wabunge waliopita bila kupingwa ikiwepo Waziri Mkuu.
Anasema hana imani na Bunge kwa sababu lina wabunge wasiotambulika kikatiba. Kwa sababu Mbunge wa Ruhangwa ni batili maana yake nchi haina Waziri Mkuu halali.
Dr. Slaa kachefukwa mno
Elimu ni kitu muhimu sana,ni lini balozi walianza kuchaguliwa?Yeye ubalozi alichaguliwa?
hilo halina ubishi, na tunaamini halitakiwi kujirudia tena. though najua waarabu sasaivi watamwaga sana pesa za uchaguzi manake sisiemu ndio kinga yao kwenye huo mkataba wa ajabu. tuna safari ndefu sana.Dkt. Slaa amesema wabunge wa CCM baadhi walichaguliwa kwa uchaguzi unaopatikana Tanzania tu, yaani uchaguzi wa kupita bila kupingwa, moja ya madhara ya kuwepo kwa jambo hilo ni kuzalisha idadi kubwa ya wabunge ambao ni wa chama kimoja (CCM).
Kuwepo kwa wabunge wengi wa chama kimoja bungeni kunapunguza au kuondoa kabisa ufanisi na dhima ya kuwepo kwao bungeni kwani wanakuwa na deni la kulipa kwa waliofanikisha kuwepo kwao na ivyo kuunga mkono kila kitu bila kuhoji, kwa akili ya kawaida tu unawezaje kumpinga mtu anayekuweka mjini? Huwezi lazima ukubali hata kama unaona anazingua.
Hili la kupita bila kupingwa ni moja ya kitu cha kushangaza kwa uchaguzi uliopita matokeo yake mikataba na mambo mengine yanapita tu kwa kura za ndiooooooo bila hata kuhojiwa.
Hata rais ni wa mchongoYupo sahihi ila sasa ni nani wa kwenda kumtoa pale kitini PM wa mchongo!?
Sawa,Unaweza kumng'oa pale Magogoni!?Hata rais ni wa mchongo
Apewe uenyekiti wa bosi ya MaziwaDkt Slaa anataka uteuzi akipewa anatulia, basi apewe uenyekiti wa bodi katika moja ya taasis za serikali
Apewe tu maana tangu alipostaafu ubalozi yule mkewe kamkimbia na kabaki CanadaApewe uenyekiti wa bosi ya Maziwa