Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Inawezekana ni kule kutokufikiwa na elimu jambo la muhimu kujua ni kwamba itikadi ya kikristo ni siri kubwa na wengi katika waumini hawaijui, majini ni viumbe kama mimi na wewe au twiga au swala, wana mambo yao na sisi tuna ya kwetu, jini akiwa mwema anabaki kwenye asili yake kuwa ni jini, na akiwa muovu anaitwa shetani na shetani ni neno la kiarabu na linaendana na uasi na uovu wao.Katika Imani ya kikristo ni hakuna Jini mwema na hakuna muunganiko wowote mwema kati ya mwanadamu na Jini, katika Ukristo majini yote ni Mashetani.
Ukristo na Uislam ni kusini na Kaskazini
Labda nitoe mfano.Kama unaamisha kuyaamuru yatoke kwenye mwili wa mtu kwa amri ya Allah( the almighty) i.e ruqya ni sahihi kinyume na hapo ni SHIRKI .
Dini zina mambo mengi na kuna washenzi wamepenyeza mafundisho ya kipagani katika kila dini.Inawezekana ni kule kutokufikiwa na elimu jambo la muhimu kujua ni kwamba itikadi ya kikristo ni siri kubwa na wengi katika waumini hawaijui, majini ni viumbe kama mimi na wewe au twiga au swala, wana mambo yao na sisi tuna ya kwetu, jini akiwa mwema anabaki kwenye asili yake kuwa ni jini, na akiwa muovu anaitwa shetani na shetani ni neno la kiarabu na linaendana na uasi na uovu wao.
Ni misinformation tu, huyo shetani mwenyewe maarufu kama ibliys alikuwa mwema kabla ya kufanya uasi, na ndio maana alipandishwa mbinguni wakati wenzie wanaangamizwa, majini ni viumbe kama mimi na wewe na wana utashi wanafanya utiifu na wanafanya uasi pia, kama tulivyo wanadamu, mbona mgogoro unakuwa mkubwa kwani majini ni maroboti?.Dini zina mambo mengi na kuna washenzi wamepenyeza mafundisho ya kipagani katika kila dini.
Waarabu wanaijua elimu ya majini kabla hata ya uislamu.
Hebu tujiulize pamoja, kwanini mafundisho ya dini zote za Abraham yanasema hakuna jini mwema Ispokuwa Uislam?
Shida nyingine ni kuwa ndugu zetu wa upande wa pili wanataka wakiaminicho wao basi kiwe vivyo hivyo.Ni misinformation tu, huyo shetani mwenyewe maarufu kama ibliys alikuwa mwema kabla ya kufanya uasi, na ndio maana alipandishwa mbinguni wakati wenzie wanaangamizwa, majini ni viumbe kama mimi na wewe na wana utashi wanafanya utiifu na wanafanya uasi pia, kama tulivyo wanadamu, mbona mgogoro unakuwa mkubwa kwani majini ni maroboti?.
Kama huwezi kuwa mstaarabu PELEKA USENGE WAKO NJE.Izo pumbusu zenu 70 nimelewa ni za majini ndo maana shee kipoizeo anasema bikra ikitoka baada ya muda yarudi. pumbafuu tokaapaa
Si kila mwanawachuoni ni wa kumfuata narudia tena watu tusome kwa misingi ya salafi swaleh ili tuweze kuielewa dini kama ambavyo inatakikana .Kuna kuyaamrishwa kwa namna tofauti.
Pia mkuu hii elimu ina uwanda mpana sana.
Maana kuna wanazuoni ambao wametoa mpaka vitabu vya dua ambavyo kuna ayah za Qur'an za kuwanyeyekeza hao viumbe kwa munajili tofauti tofauti.
Endelea kugeni majini yenu maana kwa mtume wenu mudi iyo si sunaaKama huwezi kuwa mstaarabu PELEKA USENGE WAKO NJE.
Hapa hakuna kashfa za kidini heshimu imani za watu.
Soma vizuri tawala na makabila na uongozi wa hao viumbe, alafu utaona ni nani aliye mkuu wa ulimwengu wao. Mfalme mkuuNi misinformation tu, huyo shetani mwenyewe maarufu kama ibliys alikuwa mwema kabla ya kufanya uasi, na ndio maana alipandishwa mbinguni wakati wenzie wanaangamizwa, majini ni viumbe kama mimi na wewe na wana utashi wanafanya utiifu na wanafanya uasi pia, kama tulivyo wanadamu, mbona mgogoro unakuwa mkubwa kwani majini ni maroboti?.
Hizo tawala na makabila yao zimeandikwa na nani? na ni legit? au story za kwenye magazeti ya uwazi.N
Soma vizuri tawala na makabila na uongozi wa hao viumbe, alafu utaona ni nani aliye mkuu wa ulimwengu wao. Mfalme mkuu
wewe ulimsikia wapi? achana na page za kuokotezaInakuaje kiongozi wa dini anashadidia imani za kishirikina, ndio kusema uislam ni dini ya majini na mapepo ambao ni watumishi wa shetani?
Kusoma surat kauthar mara 1000 imethibiti wapi? Je kuna aya yoyote? Je kuna hadith inayoongelea hilo? Je kuna riwaya yoyote imenukuu hiyo dua?Labda nitoe mfano.
Mathalan umeenda kuchimba madini,kule kaka inafahamika kuna ulimwengu wa majini wazito,achana na hivi vipepo vinavyokaa chooni unasonyana navyo,bali majini wakubwa.
Huwezi ukatoka na zile mali hivi hivi.
Ila ukiamua kusoma suratul kauthar mara 1000 katika kila mara 100 kuna adhkar ya kumtaja Allah ya kuwanyenyekesha wale viumbe ambao huitwa khadiim.
Mpaka unafika mara 1000 wenyewe wanaachia mzigo uwe dhahabu au ruby na unaondoka nao.
Sule yupi?Hivi ikitokea sule kaokoka na kuachana na uislam atabaki salama? Wenzake watakubali kumuacha hai atoe siri za ushetani wa dini ya kiislam?
Mkuu naona kuna sehemu hatujaelewana.Si kila mwanawachuoni ni wa kumfuata narudia tena watu tusome kwa misingi ya salafi swaleh ili tuweze kuielewa dini kama ambavyo inatakikana .
Kuwanyenyekeza kwa minajili ipi? Mtume alishindwa kuwanyenyekeza ili awatumie kwenye vita vyoote alivyopigana? Jibu ni hakushindwa ila alifanya nini kama mbadala? Jibu ni alimtegemea Allah(the all powerful) kwenye kila jambo lake .
Majini waachwe waishi maisha yao na sisi tuishi maisha yetu kwa kumtegemea Allah (the almighty )kwenye kila jambo unapoanza kuingiliana na hao viumbe utajikuta unaingizwa kwenye shirki kubwa angalia aya ya 102 ya surat baqara nanukuu.
Al-Baqarah 2:102
وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.
Mwisho wa kunukuu.
Unaposoma aya hiyo hapo unagundua kwamba wapo pia walioweka ukaribu na mashetani (jinni ni jamii ila shetani ni sifa na kuna shetani wa kijini na wa kibinadamu).
Na hao mashetani wakawafundisha wao uchawi ambao ni kufru kubwa kabisa na dhambi ambayo ukifa haujatubia basi haina msamaha na mtu ataingia motoni milele.
Hivyo ushauri wangu ni kuisoma dini kutoka kwa wanawachuoni wanaoaminika na ambao wanafuata quran na sunna .
NA ALLAH (THE ALMIGHTY) ANAJUA ZAIDI.
Mkuu unaonekana umemeza itikadi ila sio kuelewa misingi yake.Kusoma surat kauthar mara 1000 imethibiti wapi? Je kuna aya yoyote? Je kuna hadith inayoongelea hilo? Je kuna riwaya yoyote imenukuu hiyo dua?
Anayetoa ni Allah(the almighty) na kinga ni ndogo tu very simple.
1. Kama ulikuwa haufanyi ibada basi rejea kwa Allah(the almighty) anza kusali .
2. Pendelea kuwa na wudhu muda wote maana ni kinga dhidi ya mashaitani.
3. Pendelea kusoma quran hasa surat kahf , baqara na al imran kama unashindwa basi jitahidi kila ijumaa kabla ya imam kupanda kwenye mimbar unasoma aya 10 za mwanzo surat kahf na ni kinga kwa wiki nzima .
4. Pendelea kutoa sadaka mara kwa mara na mtangulize Allah( the almighty) kwenye kila jambo.
Very easy and beautiful.
Kama ni suala la kumuomba Allah(the almighty) akukinge na hila za mashaitan ni swahihi , samahani kama sikuelewa nini ulimaanisha .Mkuu naona kuna sehemu hatujaelewana.
Suala la jihad ni suala lingine huwezi lihusisha na masuala ya rizki.
Pia jihad wamuomba Allah ndio ushinde kama ilivyo rizki.
Kumnyenyekeza kiumbe sio sawa na kumtegemea.
Kumtegemea inamaana unaomba nguvu kwa mwengine akuongeze nguvu.
Na hiyo ayah ulioleta inaelezea assihru/uchawi.
Uchawi ni sehemu ya SHIRKI.
Narudia mfano wangu,unapoenda kutafuta rizki huwa rizki anapanga Allah hapangi mtu wala jini.
Kuna sehemu baadhi ya rizki huwa kuna hao viumbe,kama hautaenda vizuri unaweza kudhurika.
Ndio maana nikatoa mfano wa migodini,zile mali zinashikiliwa na majini.
Sasa ili uzipate muombe Allah mtegemee Allah kwa visomo vyake.
Moja wapo wa kisomo kusoma suratul Kauthar mara 1000,katika kila idadi ya 100 kuna adh'kar unasoma za kumuomba Allah awanyenyekeze wale viumbe,NARUDIA KUNA ADH'KAR YA KUMUOMBA ALLAH AWANYENYEKEZE WALE VIUMBE KWA WAKATI ULE WASIKUDHURU NA WAONESHE UNYENYEKEVU KWA NGUVU ZAKE ALLAH.
Ukifika idadi ya 1000 kaka mzigo unaachiwa huo hapo eidha kwa kuuchimba au hata kwa kuletewa hapo nje.
Bimaana umemuomba Allah akupe ukubwa wa kuwadogosha wale majini.
Ila hujawaomba wale majini,sijui hapo umenielewa kaka?
Ndio maana nikasema ile video watu hawakumuelewa Sule.
Sule hakuzungumzia kuwategemea majini KILA KATIKA UTAFUTAJI WA RIZKI.
Bali kumuomba Allah awanyenyekeze hao majini kwako katika baadhi ya sehem za utaftaji rizki ambazo wao wanazishikilia.
Natumai kaka utaelewa nini nalenga.
Na makafiri kila mtu shogaTatizo la uislam kila mtu sheikh, ustadh, maalim n.k na kila mtu ni msemaji, hauko institutionalized.
Wanashindwa hata na familia yangu inamsemaji?