Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Sasa mbona sisi dini zetu tumeletewa hizi mimi Babu yangu ananiambia kabisa mpaka mazingira yaliyomfanya awe dini hii ukimuuliza ina maana Baba yako alikua hana dini hizi za kigeni anakubali ndio wao walikua wanaabudu kwenye miti na Mti wakiuchagua hautakatwa kabisaa...kwa hiyo ukiwauliza Wazee watakupa majibu ndio maana mimi sipo kuwapinga watu..Siwezi bishana na wewe au kukubaliana na wewe nipo katikati.
Ila sio kwa imani za kumuabudu mnyama aisee.
Akili mingi ππMwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu 'Mwanzo 1:26'
Mwanadamu anaweza kua mwanamke au mwanaume
Anayepinga kauli ya Harmonize aende akamlete Mungu na atudhibitishie kua ana jinsia ya Kiume
Tusiwe watu wenye limited mind...!
Unq akili mnooo.πNinachoamini mimi ni kwamba 'Mungu hana Jinsia' yeye ni 'Roho'
Lakini Harmonize aliposema Mungu anaweza kua mwanamke na akatoa points zake
Wewe na mimi hatuna sababu ya kumuona mkosefu kama huyo Shekhe alivyofanya
Tokea lini Roho ikawa na jinsia?
Biblia inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu hivyo anaweza akawa ana jinsia ya kike au ya kiume
Kama unabisha kamlete Utuoneshe hiyo jinsia ya kiume aliyonayo
Kitu ambacho hakiwezekani
Mwisho wa siku utagundua hivi vitu ni vitu vya Nadharia, kila mtu abaki na anachokiamini sababu ushahidi hatuna zaidi ya maandiko ambayo yaliandikwa na wanadamu kama sisi
Rudisha mshipa nyuma urelax...!
Nipe marksβΊοΈUnq akili mnooo.π
Hapo hapo wanawajengea na misikiti na misikitini mwenu wanaingia kamakawaKweli akili yako kina kirefu tena kina kirefu cha Ibilisi mlaaniwa.
Nani kakuambia kula nguruwe ni sunna?Huo ni ushetani unaofuatwa na hao akina Konde na Simba
1000/1000Nipe marksβΊοΈ
Hivi kwenye Sala yako unaanza na kusema vipi?Mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu 'Mwanzo 1:26'
Mwanadamu anaweza kua mwanamke au mwanaume
Anayepinga kauli ya Harmonize aende akamlete Mungu na atudhibitishie kua ana jinsia ya Kiume
Tusiwe watu wenye limited mind...!
Unataka niseme 'Baba yangu uliye mbinguni'ππ€£Hivi kwenye Sala yako unaanza na kusema vipi?
Darasani ningekua napata hivi ingekua poa sana1000/1000
Kwa mimi angalau ukinambia mliabudu mizimu ambayo ilikua inaishi katika mti wa mkuyu ama mapango nitakubali.Sasa mbona sisi dini zetu tumeletewa hizi mimi Babu yangu ananiambia kabisa mpaka mazingira yaliyomfanya awe dini hii ukimuuliza ina maana Baba yako alikua hana dini hizi za kigeni anakubali ndio wao walikua wanaabudu kwenye miti na Mti wakiuchagua hautakatwa kabisaa...kwa hiyo ukiwauliza Wazee watakupa majibu ndio maana mimi sipo kuwapinga watu..
Mwanamke hatakiwi kufaulu saanaDarasani ningekua napata hivi ingekua poa sana
UnaniponzaMwanamke hatakiwi kufaulu saana
Basi sawa, kuanzia leo unapoanza kusali anza na mama.Unataka niseme 'Baba yangu uliye mbinguni'ππ€£
Hiyo tumekalili kama kawaida yetu
Haimaanishi nikisema Mama yangu uliye mbinguni hawezi kunisikia
'Mungu ni roho hana jinsia'