bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
mama Mungu wake ni naniNinashauri kwa wale ambao wakisali hutamka Mungu wa Ibrahim, Shadrak, Meshak na Abednego, wanaweza kuondoa hayo majina na kutamka MUNGU WA MAMA SAMIA kwa sababu hao wengine hatujawaona ila Mama Samia tumemuona jinsi Mungu alivyombariki.