Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

Wakristo Kwa unafiki hata shetani anawashangaa. Wakati ule wa mihadhara Mungu wenu alikuwa wapi hadi ninyi mkawa ndio mnampigania kwamba anakashfiwa?


Kina Nabii Tito wale unaona upuuzi wao wanaofanya lakini uliwahi kuona Wakristo wanahangaika nao?
Yule mwanamke anajiita Mfalme Zumaridi anayoyafanya umeona kuna Mkristo anahangaika nae kumwambia anakufuru Mungu?
Hiyo mifano michache nimekupa.

Wakristo wenzao wanaamini Mungu mwenyewe akiona kufaa atawahurumia na kuwasamahe au kuwaadhibu atakavyo.

Sasa hao wangekuwa Waislam sipati picha kama wangeendelea 🙆‍♂️🤦‍♀️
 
Kwa hiyo sisi ndio tunajua baada ya kuabudu dini za waarabu na wazungu ambao muda mwingine wanaongea chochote nasi tuwafate mara utasikia Mashoga sijui kesho hatujui watapitisha nini...
Thus zilikufa kibudu baada ya ujio wa dini za kweli.Hakuna dini inasapoti ushoga.
Ushoga ni ugonjwa wa akili.
 
Mungu hajawekewa mipaka kwa maelezo ya vitabuni.
Bali Mungu hana mfanano na binadamu.
Harmonize kakosea sana tena sana.
Mungu ama sifa ya Uungu ni sifa ya UKAMILIFU isiyokua na mapungufu wala kasoro.
Mwanamke ni binadamu na ni kiumbe chenye makosa ama madhaifu kivitendo na akili.
MUNGU HANA MADHAIFU UTAMFANANISHAJE NA KIUMBE CHENYE MADHAIFU!?
AMEKOSEA SANA HARMONIZE.

Ukisema mwanamke ni kiumbe dhaifu maana yake ni kwamba alie muumba ndio dhaifu kwa sababu huyo mwanamke hajajiumba yeye mwenyewe bali amemumbwa na Mungu.

Mwenyezi Mungu hajawahi kuumba kitu dhaifu wala kitu ambacho hakijakamilika.
 
Labda kwa ukristo ndio mwanadamu kaumbwa kwa mfanano wa Mungu.
ILa kiislam Mungu ama Uungu hauna ufanano na kitu wala kiumbe yeyote.
Mungu ama Uungu ukishakuwa na mfanano tu basi sifa ya upekee imeshakufa.
Binadamu ni kiumbe dhaifu chenye makosa mathalan wewe mtoto wa kike.
Utamfananishaje Mungu na kiumbe dhaifu chenye makosa kama wewe!!??
Ukisema binadamu ni kiumbe dhaifu tafsiri ni kwamba unasema Mungu ndjo dhaifu kwa sababu yeye ndio Kamuumba huyo mwanadamu.

Ukweli ni kwamba Mwenyezi Mungu hajawahi kuumba kiumbe dhaifu wala hawezi kuumba kiumbe ambacho hakijakamilika
 
Japo mkuu kuna mambo ukiyafikiria na kuyatafakari lazima useme mtu hayuko sahihi.
Mathalan wahindu Mungu wao ng'ombe aisee mnyama unayemfuga na kumtandika bakora anaweza kukupa maajabu gani!?
Hao hao wahindu wana Mungu wa kike anaitwa Goddess Malapini ila cha ajabu wanawanyanyapaa wanawake na kuwaita viumbe dhaifu.
Embu tafakari kwa fikra yakinifu utasema huyu mtu yuko sawa!?
Hivi mtoto ambae amezaliwa mama ake akafa wakati anazaliwa then mtoto huyo akakuzwa kwa maziwa ya ng'ombe unadhani mtoto huyo akiwa mkubwa akaujua ukweli atamuona ngombe ni nani kwake kama sio Mama? So kwa wahindi ngombe ni mama ndio maana wana muabudu kwa mujibu wa imani yao Adam wao alikuzwa kwa maziwa ya ngombe kwa sababu hakuwa na mama
 
Hivi mtoto ambae amezaliwa mama ake akafa wakati anazaliwa then mtoto huyo akakuzwa kwa maziwa ya ng'ombe unadhani mtoto huyo akiwa mkubwa akaujua ukweli atamuona ngombe ni nani kwake kama sio Mama? So kwa wahindi ngombe ni mama ndio maana wana muabudu kwa mujibu wa imani yao Adam wao alikuzwa kwa maziwa ya ngombe kwa sababu hakuwa na mama
Wapo wanaokuzwa na maziwa ya ng😱mbe je hao nao wawaite ng'ombe ni mama??
Kukuzwa kwa mtu ni kwa maziwa tu!?
Nani alikua akimbembeleza mtoto,kumuogesha na kumjali??
Je ng'ombe nae anahusika!?
Mbona mfano mbovu sana huu!?
 
Mwanamke ni binadamu wa THAMANI KUBWA MNO.

HARMONIZE ame MUHESHIMISHA MUNGU WAKE!

mtu pekee anayeweza kutoa fafanuzi ni yy mwenyewe DR SULLE na wale wote wanao toa tafsiri NEGATIVE ndo wakosaji.

" nikisema MUNGU WANGU" sina maana kuwa sio MUNGU WENU!

Nia ya HARMONIZE NI NJEMA KUMUHUSU MUNGU!.
 
Ukisema binadamu ni kiumbe dhaifu tafsiri ni kwamba unasema Mungu ndjo dhaifu kwa sababu yeye ndio Kamuumba huyo mwanadamu.

Ukweli ni kwamba Mwenyezi Mungu hajawahi kuumba kiumbe dhaifu wala hawezi kuumba kiumbe ambacho hakijakamilika
Mungu kumuumba binadam akiwa na madhaifu yake ni utashi wake Mungu.
Na madhaifu ni sehemu ya ukamilifu ya uumbaji wake.
Pasi na hayo madhaifu basi tamu ya hii dunia isingekuwepo.
Mkamilifu ni yeye Mungu peke yake.
 
Ukisema mwanamke ni kiumbe dhaifu maana yake ni kwamba alie muumba ndio dhaifu kwa sababu huyo mwanamke hajajiumba yeye mwenyewe bali amemumbwa na Mungu.

Mwenyezi Mungu hajawahi kuumba kitu dhaifu wala kitu ambacho hakijakamilika.
Huo udhaifu ndio ukamilifu wa uumbaji wa Mungu.
Madhaifu yenyewe ndio hayo yanayofanya tukosee kama binadamu.
 
Mtoa mada elimu yako ni ndogo sana kwenye kila kitu kwenye hii dunia...uislamu umempa cheo mwanamke kuliko dini yoyote unayoijua wewe ..iyo hadith uliyoileta inahusu kumtendea wema na siyo kumsujudia..alichofanya Harmonize ni kufru kwa mujibu wa dini ya kiiislamu ..kumfananisha mungu na mwanamke ni kufru kubwa kama tu uislamu umepinga mwanamke kuwa kiongozi ndio itakuwa kumfananisha na mungu?
Kwa hiyo katika uislamu mwanamke ni kiumbe haramu? Bila huyo mwanamke Mtume angezaliwa?
 
Mungu kumuumba binadam akiwa na madhaifu yake ni utashi wake Mungu.
Na madhaifu ni sehemu ya ukamilifu ya uumbaji wake.
Pasi na hayo madhaifu basi tamu ya hii dunia isingekuwepo.
Mkamilifu ni yeye Mungu peke yake.


Ur very wrong mkuu Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu ambae amekamilika kwa Asilimia mia wala hana mapungufu yoyote yani kama unavyo ona jinsi lilivyo kamilika jua na mfumo wake.

Kama mwanadamu angekuwa dhaifu kama unavyo taka kuaminisha watu wewe kawekewa jehanamu ya nini sasa wakati yeye ni dhaifu?

Umewekewa jehanamu kwa sababu wewe umekamilika.

Breaking News: siamini katika uwepo wa Jehanamu
 
Kila siku tunawaambieni Mungu ni nadharia mnakazi mafuvu, Mungu hajawahi kuwepo wala hatakaa awepo, zaidi ya nadharia vichwani mwa watu ,na kadri mda unavyozidi kwenda mtaona mengi.
I know ur just joking mkuu
 
Ur very wrong mkuu Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu ambae amekamilika kwa Asilimia mia wala hana mapungufu yoyote yani kama unavyo ona jinsi lilivyo kamilika jua na mfumo wake.

Kama mwanadamu angekuwa dhaifu sana kawekewa jehanamu ya nini sasa wakati yeye ni dhaifu?

Umewekewa jehanamu kwa sababu wewe umekamilika.

Breaking News: siamini katika uwepo wa Jehanamu
😂😂😂😂😂Aiseee.
-Suala la wewe kufanya makosa ni udhaifu tayari.
-Suala la wewe kuendeshwa na hasira ni udhaifu tayari.
-Suala la wewe kufanya maamuzi mabovu ni udhaifu tayari.
Mengine unayajua.
 
😂😂😂😂😂Aiseee.
-Suala la wewe kufanya makosa ni udhaifu tayari.
-Suala la wewe kuendeshwa na hasira ni udhaifu tayari.
-Suala la wewe kufanya maamuzi mabovu ni udhaifu tayari.
Mengine unayajua.
Kama kuwa na Hasira ni udhaifu mbona maandiko ya dini zote yanasema Mungu ana Hasira na anakasirishwa? Kwa hiyo ja yeye dhaifu kumbe?
 
Kama kuwa na Hasira ni udhaifu mbona maandiko ya dini zote yanasema Mungu ana Hasira na anakasirishwa? Kwa hiyo ja yeye dhaifu kumbe?
Hujanielewa mkuu soma kwa utuo,kuna kupata hasira na kuna kuendeshwa na hasira.
Hivyo ni vitu viwili tofauti.
Kukasirika ni kughadhibika kutokana na sababu ya kile kilichokukera na kuendeshwa na hasira ni kufanya maamuzi kulingana na hasira zako.
Hivyo vitu vinafanana bro!?
 
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .

Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.

Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.

Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.

Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...

Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.

Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?

Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.

Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.

Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.

Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.

Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.

Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.

Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.

Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.

Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?

Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)


Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.

Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?

Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.

Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.

Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.

Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :

1. Mpende mama ako.

2. Mpende mama ako.

3. Mpende mama ako.

Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"

Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.

UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.

Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.

So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.

Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..

Mimi sijasikia clip ya Dr Sule ila kwa Context ya Kiislam hawezi kumlingalisha/Kumfananisha Mungu na kitu chochote Kwani sifa za Mungu wa Waislam ni kama zifuatazo;

1 Ni Mungu mmoja tu na hana mshirika

2. Hajazaa wala hajazaliwa
3. Hana mwanzo wala hana Mwisho
4. Hanafani na kitu chochote
5. Ni muumbaji wa Viumbe vyote (vilivyopo Duniani na vilivypo mbinguni)

Kwa kuwa Mwanamke hana sifa (hata moja) za Mungu anaye aminiwa na Waislam; hivyo,
Kwa mtu yeyote ambaye hajaukana Uislam, hatakiwi KABISA kumlinganisha MUNGU na kitu chochote kwani huo ni Udhalilishaji wa hali ya juu wa Mamlaka Ya MUNGU.
Ila mtu akiwa Nje ya Uislam (akiwa sio Muislam), huko atajuana mwenyewe na Mungu wake siku za mwisho (Day of judgement)
[/QUOTE]
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .

Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.

Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.

Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.

Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...

Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.

Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?

Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.

Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.

Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.

Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.

Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.

Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.

Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.

Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.

Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?

Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)


Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.

Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?

Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.

Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.

Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.

Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :

1. Mpende mama ako.

2. Mpende mama ako.

3. Mpende mama ako.

Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"

Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.

UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.

Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.

So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.

Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..

Mimi sijasikia clip ya Dr Sule ila kwa Context ya Kiislam hawezi kumlingalisha/Kumfananisha Mungu na kitu chochote Kwani sifa za Mungu wa Waislam ni kama zifuatazo;

1 Ni Mungu mmoja tu na hana mshirika

2. Hajazaa wala hajazaliwa
3. Hana mwanzo wala hana Mwisho
4. Hanafani na kitu chochote
5. Ni muumbaji wa Viumbe vyote (vilivyopo Duniani na vilivypo mbinguni)

Kwa kuwa Mwanamke hana sifa (hata moja) za Mungu anaye aminiwa na Waislam; hivyo,
Kwa mtu yeyote ambaye hajaukana Uislam, hatakiwi KABISA kumlinganisha MUNGU na kitu chochote kwani huo ni Udhalilishaji wa hali ya juu wa Mamlaka Ya MUNGU.
Ila mtu akiwa Nje ya Uislam (akiwa sio Muislam), huko atajuana mwenyewe na Mungu wake siku za mwisho (Day of judgement)
[/QUOTE]
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .

Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.

Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.

Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.

Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...

Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.

Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?

Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.

Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.

Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.

Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.

Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.

Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.

Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.

Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.

Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?

Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)


Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.

Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?

Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.

Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.

Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.

Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :

1. Mpende mama ako.

2. Mpende mama ako.

3. Mpende mama ako.

Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"

Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.

UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.

Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.

So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.

Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..

Mimi sijasikia clip ya Dr Sule ila kwa Context ya Kiislam hawezi kumlingalisha/Kumfananisha Mungu na kitu chochote Kwani sifa za Mungu wa Waislam ni kama zifuatazo;

1 Ni Mungu mmoja tu na hana mshirika


2. Hajazaa wala hajazaliwa
3. Hana mwanzo wala hana Mwisho
4. Hanafani na kitu chochote
5. Ni muumbaji wa Viumbe vyote (vilivyopo Duniani na vilivypo mbinguni)

Kwa kuwa Mwanamke hana sifa (hata moja) za Mungu anaye aminiwa na Waislam; hivyo,
Kwa mtu yeyote ambaye hajaukana Uislam, hatakiwi KABISA kumlinganisha MUNGU na kitu chochote kwani huo ni Udhalilishaji wa hali ya juu wa Mamlaka Ya MUNGU.
Ila mtu akiwa Nje ya Uislam (akiwa sio Muislam), huko atajuana mwenyewe na Mungu wake siku za mwisho (Day of judgement)
[/QUOTE]

1. Hata Hawa alikuwa mmoja tu na hakuwa na mshirika.


2. Hata Hawa hakuzaliwa au wewe unamjua baba ake au mama ake na Hawa?

Vilevile wapo wanawake ambao mpaka wamekufa hawajazaa.

3. Hata mother universe hana mwanzo wala hana mwisho.

4. Hata upendo wa mama.haulinganishwi na kiti chochote. Anyways wewe ulimuona wapi Mungu hadi utuambie hafanani na kitu chochote?

5. Hata wanawake na viumbe wote wenye jinsia us kike ndio wanao " umba" viumbe kwenye matumbo yao.

So point yako " mwanamke hana hata sifa moja inayo fanana na sifa ya Mungu" haina mashiko
 
Back
Top Bottom