Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

Japo mkuu kuna mambo ukiyafikiria na kuyatafakari lazima useme mtu hayuko sahihi.
Mathalan wahindu Mungu wao ng'ombe aisee mnyama unayemfuga na kumtandika bakora anaweza kukupa maajabu gani!?
Hao hao wahindu wana Mungu wa kike anaitwa Goddess Malapini ila cha ajabu wanawanyanyapaa wanawake na kuwaita viumbe dhaifu.
Embu tafakari kwa fikra yakinifu utasema huyu mtu yuko sawa!?
Mkuu shida yenu mnataka unachofikiri wewe na jamii ingine iwe hivyo hivyo kwa sababu tunachotakiwa kuamini sasa hivi ni baada ya maisha haya ila mnataka kila mtu aamini kile wengi wanaamini na pia yeye mmoja anaweza kuwa sahihi kuliko ninyi wengi mnachoamini...
 
Ndio nashangaa namimi. Wakati hata ndani ya Qur'aan mwanamke kapewa hadhi ya juu sana hadi kapewa sura Suratul Maryam. Mtume Muhammad ( pbuh) kauliza na maswahaba wake " Tufanye nini ewe Mtume wa Allah ili tuweze kufika juu mbinguni.

Majibu ya Mtume;
1. Mpende Mama ako.

2. Mpende Mama ako.

3. Mpende Mama.ako.

Maana yake ni kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya kiislamu pepo ya mwanadamu ipo kwa mama yake.

Kwa unyanyapaa anao anao uonyesha Dr.Sule dhidi ya wanawake kama angeishi enzi za Prophet basi angeungana na akina Abu Jahr kwa sababu angehoji inakuwaje Mwenyezi Mungu ameshusha aya inayo mtaja mwanamke ( Maryam) kwenye kitabu chake kitakatifu.
Mungu sio mwanamke
 
Mungu hana udhaifu wa kuvuja hedhi kila mwezi na akili kama za paka za kudeka deka.
Mungu usimfananishe na kiumbe dhaifu.
Kiumbe ambacho ikitokea hatari hujificha nyuma ya mwanaume kujipa kinga.
Mungu ni provider,toka lini mwanamke akawa na sifa ya kuwa provider!?
Ninachoamini mimi ni kwamba 'Mungu hana Jinsia' yeye ni 'Roho'
Lakini Harmonize aliposema Mungu anaweza kua mwanamke na akatoa points zake
Wewe na mimi hatuna sababu ya kumuona mkosefu kama huyo Shekhe alivyofanya
Tokea lini Roho ikawa na jinsia?

Biblia inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu hivyo anaweza akawa ana jinsia ya kike au ya kiume
Kama unabisha kamlete Utuoneshe hiyo jinsia ya kiume aliyonayo
Kitu ambacho hakiwezekani
Mwisho wa siku utagundua hivi vitu ni vitu vya Nadharia, kila mtu abaki na anachokiamini sababu ushahidi hatuna zaidi ya maandiko ambayo yaliandikwa na wanadamu kama sisi
Rudisha mshipa nyuma urelax...!
 
Japo mkuu kuna mambo ukiyafikiria na kuyatafakari lazima useme mtu hayuko sahihi.
Mathalan wahindu Mungu wao ng'ombe aisee mnyama unayemfuga na kumtandika bakora anaweza kukupa maajabu gani!?
Hao hao wahindu wana Mungu wa kike anaitwa Goddess Malapini ila cha ajabu wanawanyanyapaa wanawake na kuwaita viumbe dhaifu.
Embu tafakari kwa fikra yakinifu utasema huyu mtu yuko sawa!?
Principle ileile mliozani wazee waliabudu miti, milima, mizimu la hasha
 
Ila kumeza mabomu kujilipua kisa bikra zaniwa Hilo fresh ila njaa mnaiwekea mipaka
Huujuhi uislamu na kwakuwa huupendi hutaki kujifunza hivyo unaelezea mambo kwa utashi wako au kupokea maelezo kutoka kwa watu wasiojua chochote, elewa tu dini ya kiislamu ni ya amani na si ya mihemko.
Kinachotokea hivi sasa duniani vikundi vingi vinavyojinasibisha na Uislamu ama vimeanzishwa na wasio Waislamu kwa kuwatumia watu wenye nasaba na Uislamu kwa lengo mahususi la kuuchafua uislamu ama wengine pamoja na kuwa Waislamu lakini wameamua kupotoka kwa makusudi kwa sababu ya maslahi ya kidunia ama wengine wamekuwa wakifanya matukio ya kikatili huku wakijinasibisha na Uislamu kwa ukosefu wa elimu sahihi.
Kweli zipo sababu zinazoweza kumfanya Muislamu kuingia vitani kuipigania dini yake(Jihad) lakini mapigano mengi yanayohusisha Waislamu kwa hivi sasa sio Jihad bali ni mbinu za maadui wa Uislamu kuuchafua Uislamu.
 
Mtoa mada elimu yako ni ndogo sana kwenye kila kitu kwenye hii dunia...uislamu umempa cheo mwanamke kuliko dini yoyote unayoijua wewe ..iyo hadith uliyoileta inahusu kumtendea wema na siyo kumsujudia..alichofanya Harmonize ni kufru kwa mujibu wa dini ya kiiislamu ..kumfananisha mungu na mwanamke ni kufru kubwa kama tu uislamu umepinga mwanamke kuwa kiongozi ndio itakuwa kumfananisha na mungu?
 
Tunaangamia kwakukosa maharifa..!!
MUNGU NI NGUVU YA AJABU SANA.

Sifa zote za Mungu (hiyo Nguvu) anazo/yo Mwanadamu mwenye JInsia Yeyote ile, hivyo kila mtu anaweza kutumia taswira ya Nguvu ya Kimungu na kuipa Jinsia kwa kadri aiaminivyo katika kuamini kwake..

Mfano panapokua na hatari au magumu Tutamuomba Mungu atuvushe< hapo tunamtazama kama mwenye nguvu ambapo tutamfananisha na mwanaume, na inapotokea kuna tatizo lihitajilo ffaraja na msamaaha tutaipata taswira ya Mungu kama mama mwenye huruma ya kweli..

hivyo basi mazingira na hali ndizo zitatupa taswira ya kijinsia ya Nguvu Ya Mungu kutokana na lipi linahitajika kushinda majaribu vikwazo na matatizo.

Sifa Ya Mungu amabayo mwanadamu hana ni ile NGUVU tu inayoweza kubadilisha hali fulani kuwa nyingine bila kujua ni kivipi inatokea, lakini Sifa nyingine zooote alizonazo Mungu, tunazishuhudia kwa sisis wanadamu wenyewe, na hapo ndipo naipata maana ya kusema TUMEUMBWA KWA MFANO WAKE na sio KWA MFANANO WAKE.

Kwa mfano.. Ni nani anaweza kutoa ushuhuda wa kumkosea mwanadamu mwenzake na akamuomba Mungu faragha na akabaki na Amani?

Mungu ni mwenye;
Hasira
Huruma
Upendo
Haki
Kusamehe
kuhukumu

Tukimuomba yeye anatupa, tukibisha hodi anafungua, tukitafuta tunapata.

Binafsi naona sifa zote zinapatikana katika sisi wanadamu, hivyo tukichukuliana kama wawakilishi wa sifa za Nguvu za Mungu maisha yetu yatakua ni bora na yenye kumpendeza kila mmoja alie hai maana Nguvu za Mungu zitakua ndani ya nguvu zetu za kibinaadamu na tutaweza kutendeana yote tunayoamini ni Mungu tusiyeweza kuja kumjua kua ndie mtendaji wakati huo huo tukiwa na ushahidi wa matendo yote tutendeanayo tunafurahishana, tunachukizana, tunasameheana ama tunahukumiana sisi kwa sisi wanadamu na Mungu hausiki kabisa maana sifa alizonazo mwanadamu anazo.

So yeyote atumiaye jinsia yeyote kuwakilisha nguvu ya Mungu yupo sahihi.
Asante!
 
Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :

1. Mpende mama ako.

2. Mpende mama ako.

3. Mpende mama ako.

Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"
Kuna vitu kama hamna uhakika navyo au kama mliwahi kuvisikia juu juu, muwe mnavifatilia kwanza kabla ya kuvileta hivi, sababu mnaandika uongo. Hakuna maneno ya Mtume ya hivi, nenda kasome tena.

Swahaba alimuuliza nani wa kunifanyia wema zaidi, akarudia mara tatu ya kuwa mama yako, mara ya nne baba yako. Lakini Kuna wakati mke hutangulizwa kabla ya mama.

Nafasi ya mama ni kubwa sana, hili liko wazi ila kufikia hali ya kumfananisha na Mungu, huo ni ujinga ulio pea juu ya Mungu.
 
Mkuu shida yenu mnataka unachofikiri wewe na jamii ingine iwe hivyo hivyo kwa sababu tunachotakiwa kuamini sasa hivi ni baada ya maisha haya ila mnataka kila mtu aamini kile wengi wanaamini na pia yeye mmoja anaweza kuwa sahihi kuliko ninyi wengi mnachoamini...
Hujanielewa na mimi sipo huko.
Unajua kuna kitu kinaitwa dhamiri.
Dhamiri ya kawaida ya binadamu unaweza kweli kusadikisha ng'ombe ni Mungu ama ng'ombe ana uwezo na miujiza!?
Serious kabisa ng'ombe ambae kumlisha mpaka umpeleke malishoni huku unamchapa bakora!?
 
Kuna dini mi huwa inanichekesha Mungu akidhihakiwa au kutaniwa basi hununua ugomvi kumsaidia Mungu utafikili Mungu hana miguvu kama tunavyoaminishwa
 
So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.

Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..

Huyo msanii amekosea sana katika hilo, inaonekana hamjui Mungu kabisa. Mungu Hana jinsia ila akielezewa huelezewa kwa jinsi ya kiume.
 
Ninachoamini mimi ni kwamba 'Mungu hana Jinsia' yeye ni 'Roho'
Lakini Harmonize aliposema Mungu anaweza kua mwanamke na akatoa points zake
Wewe na mimi hatuna sababu ya kumuona mkosefu kama huyo Shekhe alivyofanya
Tokea lini Roho ikawa na jinsia?

Biblia inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu hivyo anaweza akawa ana jinsia ya kike au ya kiume
Kama unabisha kamlete Utuoneshe hiyo jinsia ya kiume aliyonayo
Kitu ambacho hakiwezekani
Mwisho wa siku utagundua hivi vitu ni vitu vya Nadharia, kila mtu abaki na anachokiamini sababu ushahidi hatuna zaidi ya maandiko ambayo yaliandikwa na wanadamu kama sisi
Rudisha mshipa nyuma urelax...!
Still unaropoka.
Wewe unaweza ukaleta ushahidi Mungu anaweza kuwa ke?
Nilichopinga mimi ni Mungu kufananishwa na kiumbe mwingine iwe binadamu iwe malaika iwe nani Mungu hana sifa ya kuwa na mfanano na kiumbe chochote.
Na kheri ukae kimya kuliko kuongeza nadharia zako ambazo ni za kimakosa.
Kudhani dhani sijui Mungu anaweza kuwa hivi sijui vile ni ujuha.
Unaletaje nadharia katika kitu usichokua na uhakika nacho hata uchembe!?
Tena uende mbali zaidi uweke nadharia kuwa Mungu anaweza kuwa Kajala serious!??
Mungu hafananishwi na yeyote au chochote.
Kheri ukae kimya kuliko kuleta nadharia butu na mfu.

Then sina mshipa behave yourself usilete personal attacks.
 
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .

Huu ni ujinga mwingine ambao umeandika, inaonekana Uislamu huujui, nani alikwambia ukiwa mwanamuziki umetoka katika Uislamu ?

Muziki ni haramu na huo ni uasi, ila haimaanishi kama mtu akiwa Mwanamuziki kwamba ametoka katika Uislamu.

Kaeni chini mjifunze kwanza kabla ya kuandika uongo na upotoshaji.
 
Hujanielewa na mimi sipo huko.
Unajua kuna kitu kinaitwa dhamiri.
Dhamiri ya kawaida ya binadamu unaweza kweli kusadikisha ng'ombe ni Mungu ama ng'ombe ana uwezo na miujiza!?
Serious kabisa ng'ombe ambae kumlisha mpaka umpeleke malishoni huku unamchapa bakora!?
Tukichambua dini zote utaona hazipo sawa Mkuu ndio maana mimi naishia kusema mtu anachoamini tumuache aamini hivyo tu..
 
Umejibu vizuri ndicho nilichokuwa nataka ,kikubwa kusafisha kinywa vizuri

Na taratibu hizo ,zinafanya Zanzibar nguruwe kuliwa sana haiwezekani wakristu pekee iwe vile
Zanzibar wanaliwa sana nguruwe.. kwenye mahoteli ya kitalii.. .. sasa huko mitaani tufahamishe mwenzetu unayeishi huko..ni maeneo gani labda? Ukitoa kitope kwa masista .. ?
 
Tukichambua dini zote utaona hazipo sawa Mkuu ndio maana mimi naishia kusema mtu anachoamini tumuache aamini hivyo tu..
Siwezi bishana na wewe au kukubaliana na wewe nipo katikati.
Ila sio kwa imani za kumuabudu mnyama aisee.
 
Back
Top Bottom