mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Mataga mtapata shida sana mwaka hhi. Mama atazidi kuwatimulia vumbi. Jiandaeni kununa!Kwani quality ya filamu huwezi kujua mpaka ushike kamera? Mbona hata tulipokuwa wadogo kuna movie tulikuwa tunaziponda namna zilivyoandaliwa.
Movie umeiona,unaiponda,jina la director hulijui!!?Poa sio issue tupe jina tutaiftafta CV yake.
By theway Amazon ni platfom ya kuuza vitu aka duka mtandaoni km ilivyo ebay or alliepress na sio movie distribution company ht ww unaweza kujisajili amazon ukauza bongo movie or bidhaa zako huko.
Unazungumzia movie za kinajeria kuuzwa amazon, heb fungua amazon.com then then searchbar andika nigerian movie uone zinavyokuja km zote.
Acha kujifanya unajua while hujui kitu.
Hebu tafuta bajeti ya salt au movie yoyote ya Hollywood unayoijua,uone Kama Kuna movie ya maana inayopingua bajeti dola 30m,muigizaji anapewa chake kabisa,hakuna mkopo,ndiyo huwa wanatafutwa investors...na kwa Hollywood wapo tuUbora ni kitu gani tufafanulie.
Muigizaji huwa anapata pesa nyingi baada ya mauzo.
Ila bajeti ya kutengeneza inaweza kuwa ndogo tu.
Mkosoaji mkubwa.....
Kwa sababu wengi wenu mnadhani ubora wa picha ni rangi kukoleaSijui hayo yote uliyosema ila najua ila najua kizuri na kibaya. Na Royal Tour quality ni mbaya
Naona Umeishiwa point..anyway next time usijifanye mjuaji while kichwani ni mweupe.Movie umeiona,unaiponda,jina la director hulijui!!?
Kuna ukosoaji na upayukaji....huu wake umezoeleka.....Kukosoa ni sawa ila kuponda kila kitu ni ujinga mpya..
Huyu anaekosoa basi afanye Filamu yake itasaidia
Mladi❌Hapa hatuko Bakita,mladi mtu ameelewa ujumbe,hayo mengine tuwaachie bakita
We na 4k yako au 16k unahis tz hakuna hebu fatilia kijana anaitwa ngoteya huyu anafanya movie za wanyama cheki kazi zakeMuulizeni Kama anajua 4k ni nini
Kwa ubora wa uzalishaji Royal Tour wamezingua. Yule Mzungu katika production kafeli analingia tu hiyo connection yake
[/QUOT
Kuna mu Australia mmoja hivi anaweka collections zake you tube za 60s naona alikuwa rafiki wa kambarage simulizi za huyo peter hazitofautiani sana .nikajua itakuwa na quality ya documentary ninazoziona duniani.naunga mkono
Hahahaaaa,so Netflix siyo movie distribution company kwa kuwa ni online!?..bado upo dunia ya DVD!?..kwenye movie Kuna directors wengi..Kama unajua mgawanyo wa directors hebu nitajie!!!...Kama Nigerian movies zi auzwa Hollywood zitakua zimekidhi vigezo na wanunuzi mtakua nyinyi,dirisha lenu hiloNaona Umeishiwa point..anyway next time usijifanye mjuaji while kichwani ni mweupe.
JF is a home of Greak Thinkers sio watu wa hoja nyepesi nyepesi km zako za nigerian movie haziuzwi amazon.
I bet hujui tofauti ya amazon na movies distribution company or hujui Hollywood ni nn unakurupuka tu.
By theway Director ni John Feist. Ss ka mgoogle uone zaidi ya filamu za dizaini ya Royal tour ni filamu gani zaidi ka direct na ana umaarufu kiasi gani.
John cosmas ngoteya,miaka mitano iliyopita nikimuona alifanya promo national geographic,juzi nikaona kampuni yake imefanikiwa kurusha national grographicWe na 4k yako au 16k unahis tz hakuna hebu fatilia kijana anaitwa ngoteya huyu anafanya movie za wanyama cheki kazi zake
Producer kafanya hizo Poland,Mexico,Israel,rwanda...ni Emmy award winner piaShida yetu ni ileile inayotukumba waafrika wengi hasa tunapokutana na wazungu,hv kweli hiyo filamu ni sahihi kwa mtu kama Rais wetu kwenda na kutumia Bilion 9 kwa ajili ya kitu kama hiki,hv kweli tunakuwa na viongozi wasiojitambua namna hii kweli,Tumuombe sana MUNGU atuondolee Aibu hii kwa nchi.Naona watu wanashabikia hv kweli haya ndio mambo ya kushabikia kweli.Kazi tunayo watanzania.