mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wabishi,wajeuriKwa akili za madereva wa Tz hata uwawekee njia 10 watasababisha ajali tu.
Na kwa style hii tutazikaaa sana tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabishi,wajeuriKwa akili za madereva wa Tz hata uwawekee njia 10 watasababisha ajali tu.
Hebu define huyo shetani na hao vibaraka wake. Uzembe wa binadamu mwenyewe kwa kusinzia, kutokuwa makini au uchovu halafu kiurahisi tu tunamsingizia shetani.Mungu hawezi ruhusu mambo kama hizi,shetan na vibaraka wake hao
Uzembe, miundo mbinu mibovu vyote ni wajibu wa mwanadamuMungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Madereva wapo speed mno,ajali zipo sawa ila wengi wanaharibu vithibiti mwendo,hatutumii akuli tulizipewa na Mungu sawa sawaMungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Hapo chacha usiku abiria wengi Hasa Dodoma atakuwa aliwasomba hapo..too sad..Waliofariki 12 majeruhi 63 ina maana kuna basi lina capacity ya abiria 75?
Sio Mungu la hasha! Ni watu wanaofanya kazi na shetani wameamua kula binadamu wenzao. Haya mambo yapo sana.
Na mkuu mbona usiku ni rahisi kuliko mchana maana usiku mwenzio akija unaona taa unajua kwamba kuna gari sema inatakiwa umakini tu mimi naona
Hii ni nzuri ila sijaielewa mkuu, halafu kumalizia safari iwe gari nyingine tofauti?.... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.
Siku ukitulia nitafute nikufundishe maana ya QADAR au DIVINE DESTINY.Mungu anauwezo wa kuzuia lakini?
#YNWA
Mungu ana ruhusu ajari?kwa ushahidi upi?uzembe wa watu,unamsingizia Mungu,Waafrika/watu wenye upeo,Elimu ndogo,mambo yao yasipoenda kwa kukosa maarifa na ujuzi,usema ni mapenzi ya Mungu.
Mungu Wala hausiki,
Acheni uvivu wa akili.
Siku ukitulia nitafute nikufundishe maana ya QADAR au DIVINE DESTINY.
Ukiwa unasafiri sana utaona uzembe wa madereva wetu. Papara zisizo na msingi,ovateki za kipumbavu yaani ni vurugu tupu.Wabishi,wajeuri
Na kwa style hii tutazikaaa sana tu
Ova
Au gari za abiria zisisafiri zaidi ya masaa 12 kwa siku.
Mungu azilaze roho za marehemu wote, wapumzike kwa amani.Ni ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.
Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki.
USSR
===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023.
Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.
View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
Ukiwasikiliza watu wanaoahabikia usiku watakupa sababu wabakwepa usumbufu wa polisi na tochi zao, hapa utajua ni watu wa kukimbia hovyo bila kujali alama za barabaraniMkuu mimi ni dereva na naongea kwa experience usiku ni hatari mara 1000 kuliko mchana, watu wengi wamechoka usiku wanatembelea reserved energy, wengi wamevurugwa na macho yao hayawezi kuhimili mwanga wa taa, wengi hukimbia sana bila kuchukua tahadhari, wembamba wa barabara na mashimo, malori yanayopaki bila kuweka alama yeyote, uzoefu mdogo wa madereva wengine, haya yote husababisha ajali sana usiku.