Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Hawana faida kwa nchi na wananchi wake zaidi ya tumbo zao na familia zao
 
wameonja joto ya jiwe! daa shabiby anataka kutoa kafara hadi wabunge wenzie
 
Kenge ni jeuri na kamwe hajifunzi,siku akikumbuka kujifunza ndio anakata roho.
 
Upo Sahihi....
Dereva wa bus amezingua hapo alikuwa anaovertake na akashindwa kumaliza, hiyo ajali ilikuwa uso Kwa uso na gari la upande wa pili
 
Maneno mengi ya nini wewe ukiwaombea inatosha,

wakati wakiiba kura za wenzao huwa wanawaombea mema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…