Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana faida kwa nchi na wananchi wake zaidi ya tumbo zao na familia zaoMoja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
========
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
wameonja joto ya jiwe! daa shabiby anataka kutoa kafara hadi wabunge wenzieMoja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
========
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Kenge ni jeuri na kamwe hajifunzi,siku akikumbuka kujifunza ndio anakata roho.Kama taifa tupo kwenye peak moja ya chuki kali sana na CCM wakiwa smart watajifunza kitu.
Yaani uzi una viewers 1K na post 82 lakini hakuna hata mmoja ktk walioupitia aliyeweka emoji ya “masikitiko” hii ni hatari sana.View attachment 3170333
Upo Sahihi....Kwa muonekano wa hii ajali (bus imekula mbele kwa dereva na lorry nyuma upande wa dereva pia) hapo nashindwa kuimagine scenario ilikuwaje.
Yani imagination inaniambia dereva wa bus alitaka kuanza ku overtake gari iliyokuwa mbele yake huku lorry likitokea upande wa tofauti na bus lake ila akakosea makadirio akajikuta ameshatoa chuma sekunde kadhaa kabla hajapishana kabisa na lorry ndio maana ameligonga kwa sehemu ya nyuma upande wa kulia (angalia mpact inaonekana lorry limepigwa kuelekea nyuma ndio maana hata mlango umejikunywa kurudi nyuma) na yeye dereva bus lake likapata majeraha upande wake wa kulia. Sioni explanation ya tofauti hapo na mwendo kasi lazima ndio chanzo.
Wataalamu wa barabarani hebu nirekebisheni.
Mhhh mkuu kwani wewe humshukuru mama kwa kukuzaa na kukulea hayo mengine tuwaachie wenyewe!Wasisahau kumshukuru MAMA wangekufa wote.
Wabunge wa Magufuli hao, na hiyo ni Missed Call kutoka kwa Mungu wajiandae kupigiwa tena.Nani aliwachagua hao?
Kibaka ni mama yako na uko wenu wote .MBWADah aseee kweli mmewachoka hawa vibaka.
Hapo utakuta basi lilikuwa mwendo wa ngiri na kufanya vurugu barabarani kisa tu limebeba wakujiita "waheshimiwa".
Maana hii nchi watunga sheria na walinda sheria ndio wanaongoza kuvunja sheria.
😁😁😁😁"I hate death" hakuwemo apate hata ngeu?
HAJAKUFA HATA MMOJA NA MICHUBUKO TU KIDOGO YAANI WOTE WAKO NA AFYA NJEMAidadi yavifo mbona Hakuna?☹️☹️☹️☹️
Kwahiyo ulitaka kila mmoja apande basi lake kwenda michezoni nje ya nchi?Wabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Maneno mengi ya nini wewe ukiwaombea inatosha,Kumuombea mtu afikwe na jambo Baya hakukufanyi wewe uliye mzima uwe katika watu Bora walio wazima.
Uzima wetu ni Neema tu ya Mungu na si kama tumefanya mema kuliko waliyopata Ajali au waliokufa.
Kikubwa tuwaombee wapone haraka, na Mungu atu jaalie tuwe na mwisho mwema pindi atakapo tuita kwake kusubiri hukumu zetu.
Correct answer.Bora kiongozi wa kijiji mwenye vision kuliko mbunge mpumbavu anayesinzia bungeni huku akigonga gonga meza kupitisha sheria za hovyo na za kipumbavu
Watu mna gubuKusema kweli lingetokea jambo tu
Hata wangekufa nisingejali kabisa.Wabunge wa Magufuli hao, na hiyo ni Missed Call kutoka kwa Mungu wajiandae kupigiwa tena.