Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

.Hii ni laana ya matumizi mabaya ya Kodi zetu.mbunge anapokea milioni 13/mwezi.unanunuliwa v8,anapata bima ya kutibiwa sehemu yeyote duniani,unagharamiwa Kila kitu lakini wakati huohuo wabunge wakapendekeza mwalimu wa shahada alipwe laki tatu Kwa anayeanza.
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
Watademand kuanza kusafiri kwa ndege, kisingizio ni ajali ambayo huenda chanzo ni wao walikuwa wanamcontrol dereva
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
View attachment 3170267
View attachment 3170269View attachment 3170270
View attachment 3170273
Poleni waheshimiwa Mungu awajalie mpone kwa haraka safari si njema kwenu
 
Wabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Kila siku nasema tatizo la hii nchi wala sio Walamba Asali bali ni utamaduni uliojengeka kwamba ukiwa Mbunge au Kiongozi unakuwa mtawala na kuishi tofauti na wengine (Kama wananchi wanapanda hata baiskeli na wengine kutembea kwa miguu au kusafiri kwa malori) hao watumishi wao ni kina nani wasipande usafiri ambao ni wa Majority ?!!!
 
Back
Top Bottom