CCM iko Vizuri Sana sio watu ata Ofisi tu hawawezi kujengaHapana haziwezifika mkuu wangu Etwege ,CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,
Ni hii ikusaidie kugha'mua kwani CHADEMA pamoja na maruzuku yote hawakufanikiwa kujenga hata HQ yao
Huyo bwege mwenzako kuwaita Chadema takataka siyo tusi? Wacha upumbavu wewe!!!!Ila Wewe Jamaa unapenda sana matusi,
CCM inaungwa mkono zaidi na wajinga (TWAWEZA)Kiukweli CCM Ni chama Bora kuwahi kutokea hapa Duniani. Wapinzania hawaelewi wafanyaje na hiki chama kinachokubalika na kila mtanzania mwenye akili Timamu
Naelekea Dodoma,
Baba yako pia mjinga?CCM inaungwa mkono zaidi na wajinga (TWAWEZA)
Uchochezi mtupuGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
CCM Chama Lao, Mtakubali Tu
Sina ndugu wala mzazi asiyejitambua.Baba yako pia mjinga?
Hiki si ndiyo chama ambacho kuna watu/viongozi walikuwa wamejimilikisha raslimali za chama km majengo, magari, nk kama mali zao binafsi kabla ya ujio wa Magufuli (rip) na Bashiru? Hiyo nidhamu ya fedha iko wapi sasa?CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,
Ukikimbia peke yako uwanjani halafu ukajisifu basi wewe ni chizi.Kiukweli CCM Ni chama Bora kuwahi kutokea hapa Duniani. Wapinzania hawaelewi wafanyaje na hiki chama kinachokubalika na kila mtanzania mwenye akili Timamu
KWa CCM, wana vitega uchumi vingi mno, hiyo inawezekana hiyo bajetiGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Mkuu salama lakini, let's join our hand to support our lovely presidentSina ndugu wala mzazi asiyejitambua.
DODOMA itawaka moto hii,
HakikaKipendacho roho dawa take it from me
Sio kweli, kabisaGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Tuko njiani,Dodoma moto utawaka
Hahaha... Hawashindwi.Gharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Wanatafuna pesa iliyokusanywa na kina Bashiru AliGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30