Dodoma: CCM yaitisha viongozi wake wote nchi nzima kuanzia Dec 07

Hapana haziwezifika mkuu wangu Etwege ,CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,

Ni hii ikusaidie kugha'mua kwani CHADEMA pamoja na maruzuku yote hawakufanikiwa kujenga hata HQ yao
CCM iko Vizuri Sana sio watu ata Ofisi tu hawawezi kujenga
 
CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,
Hiki si ndiyo chama ambacho kuna watu/viongozi walikuwa wamejimilikisha raslimali za chama km majengo, magari, nk kama mali zao binafsi kabla ya ujio wa Magufuli (rip) na Bashiru? Hiyo nidhamu ya fedha iko wapi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…