Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Unataka kujua ili iweje njoo nikupe namba uchek location sikai sehemu zenu za ubaguzi nakaa watu waliostaarabika nikapunga upepo bahari !! Unatakaje? Tunaongea uhalisia unaleta mbwembweUmeulizwa unaishi wapi umetoa povu tupu. Mimi sikai arusha na wala sio mwenyeji wa huko.
Nenda kagera bukoba ipo linas night club....nenda geita ibo bivver night club.....nenda moshi mjini ipo redstone night club....nenda tabora mjini ipo oxygen night club hapa nimejaribu kukutajia ile miji ambayo wewe unaiyona ni ya hovyoo.....huko zipo night club na hotel ambazo unakuta wateja wake ni watu wa kawaida sio hao wazungu au waarabuNiambie ukitoa dar mji gani ulijenga maukumbi na mahotel kwa kutarget watanzania kama sio watalii?
Ninaanza ku imagine unakoishi maana sio kwa ushamba huu.Niambie ukitoa dar mji gani ulijenga maukumbi na mahotel kwa kutarget watanzania kama sio watalii?
Acha mbwembwe hapa, eleza hapo kanda ya ziwa unakaa maeneo gani.Unataka kujua ili iweje njoo nikupe namba uchek location sikai sehemu zenu za ubaguzi nakaa watu waliostaarabika nikapunga upepo bahari !! Unatakaje? Tunaongea uhalisia unaleta mbwembwe
Hapo umechanganya madesa mzee, labda ulikusudia kusema ziwe manispaa sio ziwe halmashauri.Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nashukuru kwa kurekebisha mkuu.. basi hizo ziitwe halmashauri za vijiji vikubwa maana sio kwa uchafu ule.π€£Hapo umechanganya madesa mzee, labda ulikusudia kusema ziwe manispaa sio ziwe halmashauri.
Kuna Halmashauri ya kijiji, ya mji mdogo, ya mji, ya manispaa , ya wilaya, ya jiji etc.
We jamaa nimekutukana matusi mengi sana ππππNashukuru kwa kurekebisha mkuu.. basi hizo ziitwe halmashauri za vijiji vikubwa maana sio kwa uchafu ule.π€£
Sasa ni za kiwango gani? Unaeongelea vibar njaa so Serena hotel ni kwa ajili ya wabongo? Tunaongelea kitu Zina fully comfort nyota 5 unaeongelea vilabu vya pombe ivyo vya uswahiliniNenda kagera bukoba ipo linas night club....nenda geita ibo bivver night club.....nenda moshi mjini ipo redstone night club....nenda tabora mjini ipo oxygen night club hapa nimejaribu kukutajia ile miji ambayo wewe unaiyona ni ya hovyoo.....huko zipo night club na hotel ambazo unakuta wateja wake ni watu wa kawaida sio hao wazungu au waarabu
We bado mshamba kiwango cha chini kamkoa hata airport wala stendi hamna mi ndo niishi unaumwa kweli!!Ninaanza ku imagine unakoishi maana sio kwa ushamba huu.
Sijawai kukaa huko niko center hapa au nikupigie picha uone? Niko flow ya 7 hapa endelea kunywa maji mchafu !!Acha mbwembwe hapa, eleza hapo kanda ya ziwa unakaa maeneo gani.
Nakuona hapo 'ninagaminze gakunwa' π€£Sijawai kukaa huko niko center hapa au nikupigie picha uone? Niko flow ya 7 hapa endelea kunywa maji mchafu !!
unaelewa kani maana ya halmashauri au ndo tukuache kwanza?Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Kumbe na wewe unakaa huko kwenye vijiji?π€£We jamaa nimekutukana matusi mengi sana ππππ
Mikoa mingi ina hadhi ya vingunguti kwa pale dar.Acheni uvivu watu wanakaa Jangwani na wanaendelea...
Nyie dar kisa kuna mihogo ya kukaanga ndio mnataka kusema sehemu zingine hazijaendelea
Uzuri ni kwamba umelielewa somo ngosha.Un
unaelewa kani maana ya halmashauri au ndo tukuache kwanza?
Nyie ndio watu mnaharibu mipango miji, kila nyumba lazima muweke frame na inaangalia sehemu yoyoteMikoa mingi ina hadhi za vingunguti kwa pale dar.
Mimi hapa umenionea.. hizo ni sheria mbovu za mipango miji. Tanzania nzima imejaa fremu.Nyie ndio watu mnaharibu mipango miji, kila nyumba lazima muweke frame na inaangalia sehemu yoyote
Umetumia kigezo gani???Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Ukifika hayo maeneo na kijionea kulivyo utagundua vigezo vitumikavyo ni hafifu sana. Miji ina hadhi ndogo sana Ile.Umetumia kigezo gani???
Unahisi kigezo walichotumia kuwapa kuwa majiji unahisi hazikuwa sawa