Haya mambo ya malezi ya mkono mmoja nayo ni shida wakati mwingine...Hawa wapuuzi walithamini Nyuchi zao kuliko usalama wa mtoto matokeo yake ndio haya Sasa.ππ
View: https://x.com/MwananchiNews/status/1872174191547719750?t=ROOqmFLDmm8-Vr1iielWKw&s=19
Kifo ni Kifo tu by SA100.Hawa wapuuzi walithamini Nyuchi zao kuliko usalama wa mtoto matokeo yake ndio haya Sasa.ππ
View: https://x.com/MwananchiNews/status/1872174191547719750?t=ROOqmFLDmm8-Vr1iielWKw&s=19
Sema mama mtoto anaonekana mdogo sana. Mwili bado unachemka akili ikiwa imelalaNimeshindwa kumuelewa. Alishindwa kuwa na Dada wa kazi mwenye kueleweka.
View attachment 3185475
Waswahili wanasema maneno uwa yana umba
Unaeza taka kuchapa ilale ukamwagia ndani bro.Nalaumu wanaume wenzangu, sio kila mwanamke wa kuzaa nae.
Nimetetemeka aisee! Unamuachaje mwanao mdogo na dereva bodaboda?? Halafu anajiita mfanyabiashara maarufu ! So, hana wasaidizi hapo kwake? Hana ndugu awaachie?Mwangalizi mkuu wa familia ni mama. Mama akiwa smart hata libaba liwe takataka familia mambo yataenda bila tatizo. Ila mama asipokuwa smart kuchukua nafasi yake sawasawa naye akaanza kuendekeza starehe na upuuzi mwingi hiyo familia haitoboi.
Mama mwenye akili unamkabidhije mwanao mdogo asiyejua hili wala lile kwa bodaboda ili wewe ukastarehe?
Unaamini vipi kuwa aliachiwa bodaboda! Iyo boda anafanya kazi usiku wote! Uyo mama Na mwenzawake wanajambo la kueleza.Malezi ya watoto siku hizi watu wameyarahisisha?!!!
Unaachia mtoto bodaboda?? π³
Bodaboda hawa hawa wanaovuta bhangi na kunywa k-vant??
Hii story mbona imepinda pinda.
Aisee.kuna tetesi kuwa baba wa huyu mtoto ni yule jamaa anayejiita chief...........wakala wa freemason