mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Na ndivyo itakavyokua ,asipo. jitenga nae,nchi itageuka ya wachuuziHii ni kweli kabisa.
Lakini baada ya uongozi wao kuisha ushawishi wao katika jamii ulipishana.
Huyu mama anahatari ya kujikuta anakuwa mbovu zaidi ya Kikwete.
Hapo sasa.CCM ni chama tawala kinachokupangia maisha yako Mtanzania.
Usijidanganye kwamba mambo ya CCM hayakuhusu.
Unakumbuka kikwete alimfanya nini mwaka 2005 Huyu mzee! Afadhali kalipiza kidogoHakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Kama kitu hujui, nyamazaKuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?
Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.
Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Unachekesha sana, hebu ongea wewe unayejuaKama kitu hujui, nyamaza
Hii Upo sawa na nchi itazama kwa ufisadi, ila 2025 subiri muziki wakeNi mpumbavu Pekee anayeamini kuwa Jk ana uwezo wa kupotezewa na Mangula ndani ya CCM.
Sisi tunaomfahamu mzee kikwete tunaamini kwa Sasa hakuna mwana Siasa mashuhuri aliyesalia ndani ya nchi Kama JKM,yote yaliyotokea mpaka Samia kawa raisi yeye amehusika kwa kiasi kikubwa,hapendi kujionesha.
Utawala wa mama Samia is like the reborn of JKM's Regime!utaamini hili after few years to come.
Najiuliza kule kupelekwa kusomea siasa nchini China kutoka Jeshini alipelekwa peke yake?Kikwete na Nyerere ndio wanasiasa pekee waliofanikiwa kujiweka madarakani kwa uwezo wao binafsi.
Hiyo ni tafsiri yako, na uwezekano mkubwa ni tafsiri potofu.Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Umesahau JK alitaka kumtimua uanachama Mangula?Unachekesha sana, hebu ongea wewe unayejua
Kuliko wa awamu ya 5Hii Upo sawa na nchi itazama kwa ufisadi, ila 2025 subiri muziki wake
Kumbe wewe ni mgonjwaKuliko wa awamu ya 5
Wewe ni KengemajiKumbe wewe ni mgonjwa
Inasikitisha sana.Hapo sasa.
Ndiyo ujue watu walijifunza methali bila kujua maana yake ni nini?
Kwanini unatumia nguvu nyingi sana kumtetea?,wakati kiukweli kapaushwa?,haya si mahaba, ni ugonjwa huuKuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?
Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.
Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Mzee Mangula ni rafiki yake Dk. Jakaya Kikwete tangu zamani, au nasema uongo jamani!!!!ππππππHuu ni uchochezi ,muacheni mzee wawatu apumuzike !
Sawa ila kwa hili la mleta mada mada hapo juu acha liwahusu wao wenyewe.CCM ni chama tawala kinachokupangia maisha yako Mtanzania.
Usijidanganye kwamba mambo ya CCM hayakuhusu.
Tatizo lenu mmevamia Chama na Chama hamkijuiKwanini unatumia nguvu nyingi sana kumtetea?,wakati kiukweli kapaushwa?,haya si mahaba, ni ugonjwa huu
Hapa unaweza kulishwa matangopori yaliyojaa umbea kuliko facts vilevile.Sawa ila kwa hili la mleta mada mada hapo juu acha liwahusu wao wenyewe.