Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

JK mitano tena yeye ndio mpiga zumari ...soon ataanza u vasco da gama kuomba misaada miradi yote pending upya
 
Ila kiukweli Mangula kakosea sana
Hapana, kapatia Sana big up kwake, kwa maneno ya kipuuzi puuzi yanayoendelea ya kumchafua jk ni vema kumnyima maiki mzee kikwete ili kupunguza maneno kidogo.
 
Tulijua utaandika haya kwa hulka zako za uzushi na uzandiki
 
Wewe ni mpuuzi na Kikwete ni ****
 
Kuhusu sumu muulize comrade Magoti nani alimtuma
 
Ni bora imekuwa hivyo maana watu wana maneno maneno, ati Kikwete kampa urais Mama Samia.
 
Sijui kwanini Jakaya anawatesa sana mataga... Na bado ndo kwanza kazi imeanza
 
Muhimu ni kwamba Samia kipenzi cha Jakaya Kachaguliwa kwa kishindo hayo mengine ni kelele tu za nguruwe kumzuia mchinjani.
Wewe mbona unapotosha??

Mh Rais yupo hapo Kwa takwa la kikatiba na sivyo unavyataka watu waamini,
 
Hivi Mangula nguvu za kuongea jana kule kikaoni kazitoa wapi. Ndo kusema kila mtu alikuwa anamwogopa mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…