Mimi siongelei gari,
Mimi naongelea udhaifu wake kwenye ku handle matatizo Kama mwanaume...Sasa kumdeal na wife tu kafail je kudeal na wizara anaweza kweli.
 

Wanaume wengi viatu haviwatoshi
Mwanaume lazima awe imara katika hali zote
Sasa mwanaume anafanya majanga halafu anakimbia si aibu hiyo
 
Malay wadangaji wote wanaenda dom
Kuwavizia waheshimiwa...
Mh akiona dem tk kubwa lazima apagawe [emoji1]
Any way pole yake

Ova
 
acha utani wewe fumanizi lisikie kwa jirani
Yule ni waziri ana cheo ilibidi ajisimamie amwambie nina kikao kuna watu nawasubiri kukutana hapa hotelini.

Anamwambia wifeningia kwenye gari chapu anamtext rafikia yake amoigie simu akimuihitaji haraka. Hapo ndo atampeleka wife home na kurudisha gari la serikari ofisin........simpo laiki zati.

Itoshe kusema baadhi ya wanaume wanapitia maisha magumu. Hapo ikite wife wake hampi mwezi wa pili sasa, waziri kaamia isiwe shida ndo yanamkuta haya.
 
Kuna kitu sijaelewa !! alikuwa anafukuzwa na mkewe ?
Huyo mke wa waziri apewe tuzo ya heshima kwa kufanya street racing na hatimaye ku mu outsmart dereva wa v8,
Sijui mama alikuwa anatumia Subaru Tribeca???
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ulikuwa unalea? Ulipotea sana.

Ni kweli, wakome umalaya, sema mtu ukiwa na pesa, stress ndogo huna, hakika kuchapa nje hakukwepeki.

Aibu yake!!
Nipo jamani ubusy tu wa hapa na pale but I'm back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…