Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Maana unataka maelezo ya maisha yangu,wewe Nani kwani?punguza shobo bibie sijakuquote Mimi ni wewe na kiherehere chako
Nilikuwa naelezea story yangu na mjeda ndio topic hapa kama hujaelewa pita kushoto
Sija jam ila sipendi mtu kujifanya mjuaji wa maisha ya wengine,huna mandate ya kunifanya ujam
Uups!Pole kama umeona nimekushushua
Huna sababu ya kunipa Pole...Na hakuna mahali niliposhushuka...Kwa muda nimekuwa JF nilishakutana na mengi...Nimezoea..

Anayetaka kujua maisha yako ni nani....Si ni wewe uliyaleta..kama siyo nikuombe radhi hapa.

Naona ni wewe umechukulia mambo serious sana aiseee....JF haiko hivyo...

Bye!!!!!!!
 
Wewe ndio Aina ya wanaume mnatakiwa!Kuna mahali nimesema kwani si angetulia halafu amwambie mkewe kilikuwa kikao Cha kiofisi haoni Kama angesolve tatizo Kwa njia rahisi,Sasa kukimbia ni kuongeza taharuki matokeo ndio hayo...Kuna wanaume mawenge sana
Kwanza waziri hupaswi kutrombre hotelini zama hizi.
Hoteli zina cctv camera ni rahisi kuharibiwa cv.
Pili wanaokuhudumia ni wanadamu na ni wananchi wanaokujua.

Kama unajijua ni kitombi hakikisha una akili kubwa sio huu utoto
 
Vere pesono ahahaha

Wana kichaa wasemao hivyo.

  • Gari aliyotumia ni ya kwake au serikali?
  • Ukomo wa serikali kumuhudia naibu waziri ni saa ngapi?
  • Nyumba anayoishi naibu waziri, ni yake binafsi au ya serikali?
n.k

U-pesono unatokea wapi kwenye VIEITEEE yetu?
😁😁😁😁
 
Kwanza waziri hupaswi kutrombre hotelini zama hizi.
Hoteli zina cctv camera ni rahisi kuharibiwa cv.
Pili wanaokuhudumia ni wanadamu na ni wananchi wanaokujua.

Kama unajijua ni kitombi hakikisha una akili kubwa sio huu utoto
Wenzake wanapanga private apartment zao getini anaajiri knight support yeye analeta ubahili🤣kimemkuta kitu
 
Huna sababu ya kunipa Pole...Na hakuna mahali niliposhushuka...Kwa muda nimekuwa JF nilishakutana na mengi...Nimezoea..

Anayetaka kujua maisha yako ni nani....Si ni wewe uliyaleta..kama siyo nikuombe radhi hapa.

Naona ni wewe umechukulia mambo serious sana aiseee....JF haiko hivyo...

Bye!!!!!!!

Kwaio nikiyaleta mambo yangu hapa ndio adhabu?
Kwani wewe post yangu na hii ya leo ulitaka nikuelezee maana umeniuliza nimeshapata mume?Vipi dada post zangu zinakugusa hivyo kulikoni
Acha shobo unataka kujua kama nimepata mume wewe kama Nani?mbona mimi sijataka hata kufatilia post zako
Acha kuchukulia mambo serious wewe soma post za watu pita hivi[emoji1428][emoji1428][emoji1428]sio kuuliza maswali yasiyo kuhusu enjoy Jf bila kufatilia mambo ya watu hutowahi kushushuka kama hivi
Nilileta mambo yangu hapa sio kuhojiwa,aliekupa mandate ya kunihoji kama nimepata mume ni nani?
Punguza ngebe!!!!
 
Back
Top Bottom