Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni hatari Mkuu 😭Kidogo sasa , ikifika 2030 Kuna viongozi wachache watakuwa wanamiliki utajiri mkubwa kuliko serikali ya Qatar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari Mkuu 😭Kidogo sasa , ikifika 2030 Kuna viongozi wachache watakuwa wanamiliki utajiri mkubwa kuliko serikali ya Qatar
Huna sababu ya kunipa Pole...Na hakuna mahali niliposhushuka...Kwa muda nimekuwa JF nilishakutana na mengi...Nimezoea..Maana unataka maelezo ya maisha yangu,wewe Nani kwani?punguza shobo bibie sijakuquote Mimi ni wewe na kiherehere chako
Nilikuwa naelezea story yangu na mjeda ndio topic hapa kama hujaelewa pita kushoto
Sija jam ila sipendi mtu kujifanya mjuaji wa maisha ya wengine,huna mandate ya kunifanya ujam
Uups!Pole kama umeona nimekushushua
Na wao ni binadamuTunataka maendeleo kwa kuwa na viongozi wanaowaza uzinzi full time...
Hakuna jipya chini ya jua Aisee,zote zafananaKipya kipi asichonacho mkeo
RC Mwanza!Tena aliibiwa pesa za kigeni zaidi ya $1,000 na milioni kadhaa za madafu, na bunduki ikaibiwa.
Nakumbuka hiyo habari ilizimwa kimtindo na leo hii jamaa ni RC
Nape, January, Rixiwan, mchemba note downNi hatari Mkuu 😭
Wanadhani ni malaikaNa wao ni binadamu
Wasiojali kuna HIV/AIDSNa wao ni binadamu
Sahihi kabisaWewe ulifanya kosa kuolewa na malaya. Malaya ni malaya huwezi mkomoa kwa kuwakomoa wanao. Ukiolewa na malaya na ukazaa watoto smart move ni kuvunja hiyo ndoa.
Kwanza waziri hupaswi kutrombre hotelini zama hizi.Wewe ndio Aina ya wanaume mnatakiwa!Kuna mahali nimesema kwani si angetulia halafu amwambie mkewe kilikuwa kikao Cha kiofisi haoni Kama angesolve tatizo Kwa njia rahisi,Sasa kukimbia ni kuongeza taharuki matokeo ndio hayo...Kuna wanaume mawenge sana
Adam Malima RC MwanzaHii ilitokea awamu ya ngapi mkuu
😁😁😁😁Vere pesono ahahaha
Wana kichaa wasemao hivyo.
n.k
- Gari aliyotumia ni ya kwake au serikali?
- Ukomo wa serikali kumuhudia naibu waziri ni saa ngapi?
- Nyumba anayoishi naibu waziri, ni yake binafsi au ya serikali?
U-pesono unatokea wapi kwenye VIEITEEE yetu?
haha alafu habari tz nzima katoa huyu, sijaona pahala pengine
Kwani amefariki?Spika wa bunge naye hajasema chochote kuhusu kifo cha naibu waxiri kilichotokana na ajali!
Spika wa bunge naye hajasema chochote kuhusu kifo cha naibu waxiri kilichotokana na ajali!
Wenzake wanapanga private apartment zao getini anaajiri knight support yeye analeta ubahili🤣kimemkuta kituKwanza waziri hupaswi kutrombre hotelini zama hizi.
Hoteli zina cctv camera ni rahisi kuharibiwa cv.
Pili wanaokuhudumia ni wanadamu na ni wananchi wanaokujua.
Kama unajijua ni kitombi hakikisha una akili kubwa sio huu utoto
[emoji1787]mi nilishanyosha mikono ogopa sana mwanamke anaongea na mtoto mchanga kabisa ambae hajui kitu na wanakua na furaha hadi wanaelewana ,ndio mimi naejua kuongea ashindwe kunidadisi
Huna sababu ya kunipa Pole...Na hakuna mahali niliposhushuka...Kwa muda nimekuwa JF nilishakutana na mengi...Nimezoea..
Anayetaka kujua maisha yako ni nani....Si ni wewe uliyaleta..kama siyo nikuombe radhi hapa.
Naona ni wewe umechukulia mambo serious sana aiseee....JF haiko hivyo...
Bye!!!!!!!