peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Inasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOIKwani amefariki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOIKwani amefariki?
Inasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOI
Starehe gharamaWenzake wanapanga private apartment zao getini anaajiri knight support yeye analeta ubahili🤣kimemkuta kitu
Pana mabus zamani yaliitwaHakuna jipya chini ya jua Aisee,zote zafanana
Acha bwana,sio poa.....hanaga shida kabisa huyoMaana unataka maelezo ya maisha yangu,wewe Nani kwani?punguza shobo bibie sijakuquote Mimi ni wewe na kiherehere chako
Nilikuwa naelezea story yangu na mjeda ndio topic hapa kama hujaelewa pita kushoto
Sija jam ila sipendi mtu kujifanya mjuaji wa maisha ya wengine,huna mandate ya kunifanya ujam
Uups!Pole kama umeona nimekushushua
Wanaume tunajua kujibebesha mizigo mnooWenzake wanapanga private apartment zao getini anaajiri knight support yeye analeta ubahili🤣kimemkuta kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwamba alitisha Sana Sana ata Mimi siwezi kukubali ata siku unidhalishe mbele ya watu. Hakuna kitu sipendi kama mtu kunivunjia heshima hapo ntachukia utajua lakini tukiwa wawili fresh ata msamaha wa machozi natoa hila nje uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787] thubutu
MchipukoKafariki?
Niliwahi pewa hii story na bibi yangu😂😂Pana mabus zamani yaliitwa
Zafanana mmiliki alizichakata sana hadi hakuona jipya kwenye michezo hii ya kupakana majasho . Akayaita mabasi yake zafanana
Duu ,Inasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOI
Acha bwana,sio poa.....hanaga shida kabisa huyo
Yeye alibana matumizi akatumia kodi zetuStarehe gharama
Mmeumbiwa mateso😁😁😁Wanaume tunajua kujibebesha mizigo mnoo
Huyu hapaAsante kwa taarifa mkuu. Nakuamini.
Hebu tupe picha, Kama anakitambi pia tunahitaji kukiona ili tujue Kama Ni wale wazee wa dakika mbili.
Ishia hapo hapo. Ziko Aina Saba. Tuulize tunaozitumia.Hakuna jipya chini ya jua Aisee,zote zafanana
🤣🤣🤣Very personal !!!!a public servant being unfaithful and unethical by committing extra marital affairs using government vehicle financed by tax payers' money!!
Ndio huyo mwamba. Hongera yake.
Fumanizi lolote uwe dume au mwanamke lazima uwe mdogo,mpole[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wanaume wengi waoga kufumaniwa wanakuwaga wadogo ka piritoni na huyu waziri akipona aaChe uzinzi utamuua mkewe ka ana mfatilia hivo atakuwa anatumia hata madawa