Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
DuhInasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOI
Very sad kama ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhInasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOI
Jehansmu ndogoMmeumbiwa mateso😁😁😁
Adam Malima na scandal yake kule Morogoro alikuwa hajui kuwa Muislamu anapaswa kuwa na wake wanne na si michepuko!Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Basi tu alikua ana kiraru...angetulia tu..mambo menginr unaacha yaflow kama yalivyoAngeenda na Tax
Ukute alikimbiza gari bila kufunga mkandaInasemekana alipasuka kichwa na biashara imeishia njiani akikimbizwa MOI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya Tena wataalamu kwenye ubora wenuIshia hapo hapo. Ziko Aina Saba. Tuulize tunaozitumia.
Wengi mkipata tuhela au tu vyeoUnaposema wengi unamaanisha unaowafahamu?
....hana akili kabisaaa".Sasa na hizo bange zake Wacha mume afe halafu watoto wawe panyaroad. Na wakija kujua kisa kilichomuondoa baba yao na kuwaachia taabu watamchinja huyo mama
Baba alikosea harekebishwi kwa kumfanyia matendo ya aibu. Mimi naamini ukishafanya fumanizi la aibu kama hilo upendo umekufa na hamuwezi ishi tena ndani ya chumba kimoja.
Wanawake tuwe tunawaza mbali kidogo
Tusifanye mambo kwa mihemko tukaishia kuzalisha majanga makubwa zaidi
WANAUME zinaa mnazofanya mnajiangamiza wenyewe
Mit 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
PoleniJehansmu ndogo
Kumbe alimaanisha mbususu...ZAFANANA?😂Niliwahi pewa hii story na bibi yangu😂😂
Sasa ukifumaniwa una panic hata hivo za mwizi ni arobaini Tena huyu waziri anajiita Dr ni PhD ya kitaaluma au kidaktari inaonyesha tangu awe mbunge akawa limbukeni flaniFumanizi lolote uwe dume au mwanamke lazima uwe mdogo,mpole
[emoji1]
Waziri hakutakiwa kukimbia kwanza
Angelimqliza kibingwa
Ova
Kila mwanaume ana hamu ya kuchepuka. Ukiona MTU katulia kwa mkewe ujue Kuna matatu.Wengi mkipata tuhela au tu vyeo
RafikiLitanunuliwa lingine kairuki alishapitisha bajeti ya magari ya mabos tamisemi🙏
Ila Kairuki naye analipa niwe mkweli kutoka rohoni mwangu.Litanunuliwa lingine kairuki alishapitisha bajeti ya magari ya mabos tamisemi🙏
Utawaweza hao wanapenda kujifanya watakatifu Duniani kama wamewahi kuonana na Mungu.Hahahahah!!sawa mama lakini Mbona wapo Waislam tena ukute anamke zaidi ya mmoja na bado anapiga show za nje?Umetolewa Mfano mmoja wa Yule Mbunge(Naibu Waziri) Mwaka 2012 aliye Ibiwa Hotelini.
Ni kazi ya traffic police kuthibitisha chanzo cha ajili. Comment yangu imetokana na heading ya mtoa mada!Hiyo ni Ajali Kama ajali nyingine kwa kua ni uncertain situation ,ingekua amelewa labda sawa,ajaiporomosha gari kusudi
[emoji28][emoji28] Mimi wangu namlisha libwata atulieKila mwanaume ana hamu ya kuchepuka. Ukiona MTU katulia kwa mkewe ujue Kuna matatu.
1. Kalishwa limbwata
2. Hana pesa
3. Hana nguvu za kiume.
Mwamba mwingine huyu hapaIla Kairuki naye analipa niwe mkweli kutoka rohoni mwangu.
Dr. Wa Muhimbili. Alikuwaga DMO Kinondoni na RMO kule Simiyu.Sasa ukifumaniwa una panic hata hivo za mwizi ni arobaini Tena huyu waziri anajiita Dr ni PhD ya kitaaluma au kidaktari inaonyesha tangu awe mbunge akawa limbukeni flani