Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Wabunge wa CCM leo tangu asubuhi wameacha kujadili ripoti ya CAG wanadokolea mitandao macho kupata taarifa za Ajali ya Naibu Waziri Dugange ambaye amefumaniwa.
 
Sasa na hizo bange zake Wacha mume afe halafu watoto wawe panyaroad. Na wakija kujua kisa kilichomuondoa baba yao na kuwaachia taabu watamchinja huyo mama

Baba alikosea harekebishwi kwa kumfanyia matendo ya aibu. Mimi naamini ukishafanya fumanizi la aibu kama hilo upendo umekufa na hamuwezi ishi tena ndani ya chumba kimoja.

Wanawake tuwe tunawaza mbali kidogo

Tusifanye mambo kwa mihemko tukaishia kuzalisha majanga makubwa zaidi

WANAUME zinaa mnazofanya mnajiangamiza wenyewe

Mit 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
....hana akili kabisaaa".

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Fumanizi lolote uwe dume au mwanamke lazima uwe mdogo,mpole
[emoji1]
Waziri hakutakiwa kukimbia kwanza
Angelimqliza kibingwa

Ova
Sasa ukifumaniwa una panic hata hivo za mwizi ni arobaini Tena huyu waziri anajiita Dr ni PhD ya kitaaluma au kidaktari inaonyesha tangu awe mbunge akawa limbukeni flani
 
Hahahahah!!sawa mama lakini Mbona wapo Waislam tena ukute anamke zaidi ya mmoja na bado anapiga show za nje?Umetolewa Mfano mmoja wa Yule Mbunge(Naibu Waziri) Mwaka 2012 aliye Ibiwa Hotelini.
Utawaweza hao wanapenda kujifanya watakatifu Duniani kama wamewahi kuonana na Mungu.
 
Sasa ukifumaniwa una panic hata hivo za mwizi ni arobaini Tena huyu waziri anajiita Dr ni PhD ya kitaaluma au kidaktari inaonyesha tangu awe mbunge akawa limbukeni flani
Dr. Wa Muhimbili. Alikuwaga DMO Kinondoni na RMO kule Simiyu.
Amepiga kitabu tatizo mbinu za kuchepuka ndio akasome.
 
Back
Top Bottom